Recent content by Rais wa monduli

  1. R

    HESLB pesa za mikopo zinatumika Dodoma.

    mlimani washapewa na hapa MUCE tumesaini mzigo unaingia kesho j3.wanavyuo wa sehemu nyingine kueni na subira ila mumbane loan officer wenu awape taarifa kamili.
  2. R

    Jamani inakuaje mpaka mtu anapangiwa kuwa mkufunzi vyuo vya ualim nchini

    hiyo ni kwa waliosoma bed na sometimes kujuana kunahitajika
  3. R

    Hii habari kutoka HESLB ina ukweli?

    kusign na kupata hela ni vitu viwili tofauti
  4. R

    Wanafunzi UDSM Kuanza Mgomo Na Maandamano Yasiyokoma - Jumatatu, Tarehe 5 May

    kiukweli wenzangu wa mlimani campus mmewahi sana kuandaa kunji wakati tar 8 haijafika kwanini tusiwe na subira ili tujenge hoja ?tusubur kama itazidi tar 8 ndo tujue tutafanyaje.hata hapa MUCE hali ni mbaya lkn mda haujafika .tusikurupuke tutakosa ushahidi na kuishia kupigwa na ffu na kufukuzwa...
  5. R

    Picha 11 za Rais Masikini kuliko wote duniani na mambo 9 yanayomuhusu

    huyu rais ni conservative kama ndo mzazi wako we jua utaishia kumiliki baiskeli tu.
  6. R

    Nitagombea ubunge Jimbo la Mwibara

    unasoma chuo gani kijana na kitivo gani pia?
  7. R

    Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

    haijalishi coz kifungo kitaisha tu!
  8. R

    Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

    we ------- huna ushaidi afu unazungumza?embu nenda monduli kajionee hadi kwenye miamba na milima bara bara zimefunguliwa kuunganisha vijiji.na mambo chungu nzima!!!
  9. R

    Saut-Mwanza Semista ya Pili inaanza Kesho

    wanna saut mnatabu xana ila vumilieni tu tutabishana ila mwisho wa siku kila MTU atafurahia maisha.
  10. R

    Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

    hawa diploma wanatabu sana undo maana Matafia na uniform zenu.walim wa degree ni multipurpose.
  11. R

    Udsm-muce.

    mi pia nipo muce lkn jamaa angular unantia Ainu kulalamikia kitu cha sh.9000 .sham. e on you books and stationary umehonga au?
  12. R

    unyonge na uvumilivu wa wanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe umekua Mateso kwao

    hata wanamuse walitaka kutuzingua tukajiandaa kugoma ghafla ATM zikajaa.ila kueni wavumilivu wandugu.
Back
Top Bottom