mlimani washapewa na hapa MUCE tumesaini mzigo unaingia kesho j3.wanavyuo wa sehemu nyingine kueni na subira ila mumbane loan officer wenu awape taarifa kamili.
kiukweli wenzangu wa mlimani campus mmewahi sana kuandaa kunji wakati tar 8 haijafika kwanini tusiwe na subira ili tujenge hoja ?tusubur kama itazidi tar 8 ndo tujue tutafanyaje.hata hapa MUCE hali ni mbaya lkn mda haujafika .tusikurupuke tutakosa ushahidi na kuishia kupigwa na ffu na kufukuzwa...
we ------- huna ushaidi afu unazungumza?embu nenda monduli kajionee hadi kwenye miamba na milima bara bara zimefunguliwa kuunganisha vijiji.na mambo chungu nzima!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.