Recent content by Rais Busha Dhaifu

  1. R

    JamiiForums Tanzania Aunt Zainab's: Tunatafuta Website Designer Developer

    mkuu utaratibu wako unaondoa uthamani na ufanisi katika taaluma hii subiri waje wanataaluma uone watavyokupinga
  2. R

    JamiiForums Tanzania Aunt Zainab's: Tunatafuta Website Designer Developer

    Huku ndo nasema kuharibu kazi za watu na kuchafua taaluma za watu mkuu kwa maana maelezo yako yanaonesha unafanya kazi zozote za coding hujali ubora wa kazi unachojali ni pesa huu ni utapeli mkuu, hata logo tu kwa designers wazuri hicho kiasi hakikubaliki iweje kwa code languages?? Hii ni...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Aunt Zainab's: Tunatafuta Website Designer Developer

    Ushauri wangu wa bure tafuta kampuni nzuri uingie nao mkataba watakusaidia achana na vya urahisi vitakusumbua REMEMBER unaweza tengenezewa hiyo ya urahisi ikawa ina spy kazi zako na kutuma feedback kwa wahusika bila ww kujua mwisho wa siku wakahack na ukaibiwa, makampuni yapo mengi sana...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Aunt Zainab's: Tunatafuta Website Designer Developer

    Mkuu kwa hili hauko sahii unaua taaluma za watu, sina hakika kama ww ni mtaaluma wa hiyo kitu bali mdandiaji android app ya personal Tsh 100,000/=???? Mkuu unatumia code za programing nizijuazo kudevelope hyo ktu au ndo wale wa WYSIWYG (wht yo see is wht yo get) unadrag tu templates na...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kikwete yu tayari kumkabidhi madaraka ya urais mgombea wa UKAWA?

    Kwa usalama na amani ya Tanzania kudumu ni bora wakubali kuachia ili wajipange vyema wakati mwingine wa uchaguzi, amini niwaambiayo wasipokubali mwaka huu wajiandae kuwa mizogo na familia zao, binafsi mwaka huu sikubali upumba.vu wa aina yoyote kama kuhujumu au kuchakachua matokeo, LAZIMA...
  6. R

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Airtel waanza mtindo wa kuibia wateja wao

    Mkuu mimi nipo Mwanza, nilinunua vocha yao hao airtel nikakwangua vibaya ikabidi niende ofisini kwao, nilimkuta mdada anamajibu kama kameza uchafu, akadai siku yoyote salio langu litaongezeka nilisubir wiki 2 hakuna kitu nikachukia nikatupa laini chooni nikahamia mtandao mwingine, hao airtel ni...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Januari Makamba,kwanini unatulazimisha kusoma kitabu chako?

    Mkuu kama umesoma hicho kitabu vizuri utangundua lengo lake kuu ni kutaka kuwashawishi wakristo kuwa anafaa kuongoza nchi kwani amekulia ukristo toka utotoni, ndio maana amemtumia padre katika kuandika kitabu hicho huku kikijazwa picha kadhaa za wanafunzi wa shule zilipo chini ya uongozi wa...
  8. R

    JamiiForums Tanzania CCM lazima iondoke, kwa shwari ama kwa shari

    Mkuu nilikuambia achana na zile pedi za bure za CCM ni hatari kwa afya yako umeona sasa zimekwsha kuathiri tayari, ndo nini hichi sasa umepost hapa ndugu yangu?
Back
Top Bottom