manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,093
- 11,948
Jana nilijiunga na bundle ya Tsh 9999 kwa mwezi, ambayo ni bundle ya mwezi,cha ajabu kila nikipiga simu wananiambia huna salio Leo nimeenda ofisi za AIRRTEL binti niliyemkuta alikili kuwa anaona salio katika akaunti yangu, lakini alipocheki salio kwenye simu yangu alishangaa,akaanza kusema ulitumia na alipohesabu dakika nilizotumia akaona kweli nawadai na akashindwa kabisa kuelewa kilichotokea na akaniahidi ananifungulia malalamiko ili watu wa IT wachunguze kilichotokea.
Nilipotoka nje jamaa mmoja akanambia wewe ni wa tatu kulalamika leo tu na akaongezea kuwa bila shaka wanakopesha watu hawalipi, kwa hiyo wanajaribu kufidia kwa kuwakata wateja wakubwa wanaoweka hera nyingi, kwa sababu wanaolalamika ni ambao wameweka hera nyingi. Watumiaji wa Airtel kuweni macho.
Nilipotoka nje jamaa mmoja akanambia wewe ni wa tatu kulalamika leo tu na akaongezea kuwa bila shaka wanakopesha watu hawalipi, kwa hiyo wanajaribu kufidia kwa kuwakata wateja wakubwa wanaoweka hera nyingi, kwa sababu wanaolalamika ni ambao wameweka hera nyingi. Watumiaji wa Airtel kuweni macho.