Kila nikitaka ku run games na other program, Pc yangu inaniandikia VGA IS MISSING! ivyo sasa sijui tatizo ni nini pia haiwezi kubadili brightness yani inaumiza sana macho kwa mwanga mkali.. Natanguliza shukran
Hostel sio kwamba 2nashare ila ni kutokana na uhaba wa hostel hapa chuoni xo inalazimika kwenda kutafuta m2 ambaye unamfahamu huko mabibo ili akubebe au ikiwezekana akuuzie chumba....
Kwa nijuavyo continous wanafungua tarehe 14 mwez wa kumi na fist year tareh 7 wanaanza orientation......
Izo registration form hata msiwe na haraka nazo we njoo zinapatikana hapa hapo chuon kwa bei ya cop tu...
Hapa chuo ishu kubwa ni hostel ndo hazitosh lakini mpango wa kitabu ni poa 2.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.