Hiyo hofu wewe umeijuaje,umeitoa wap, kama sio kwenye vtabu ambavyo ww unasema vimeandikwa na binadam? Maana walisoma wakajua makatazo ya Mungu na ghadhabu zake ndio wakaja kukuambia wewe nawe ukaelewa ukapata hofu
Kama unaukarbia ukweli hiv, mana umeeleza kwa mapana yenye uchache, maana kama kingeandikwa wazi kila kitu kwenye biblia sizan kama tungepata nguvu ya kusoma maana ungekuwa mzigo wa kitabu, lkn pia tumefichwa mengi na vingi mnooo vmebak kuwa siri tuuu maaana kama tungewekwa waz vyote sijui...
Kwanza nmesikia kuna kikund cha watu (mataifa) viongoz wa dini inafika wakati wanakaa na kujadiliana kuandika biblia kama ilivyo fanyika mwaka 187's nmesikia lkn kwamba biblia ilirekebishwa sasa hapo mm ndio huwa sielew tuuu inakaaje hiii.!
Kwan mbingun ndio wap? Mana ukizid kwenda unajikuta unapotelea huko na ukitua basi unajkuta upo sehen tofaut na uliyokuwa au juu kuna mwisho kwamba ukifika hapo kuna namna ya kuingia huko kwengine?
Tatzo n kwamba nmekaa na hilo tatzo kwa miaka mingi sana kama kumi hiv sikuwa na maumiv yoyote, na kinyama nkaona n chakawaida tuu baadae baada ya kuingia humu ndio nkajua kuwa nna hilo tatzo maana nnacho kinyama, yaan nna ya nje na ya ndan TATIZO N KWAMBA USUGU WA TATZO LANGU had naona tabu tuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.