Ninaomba kufahamu kuhusu mradi wa miti ya mbao, ninawazo la kununua shamba na kupanda hiyo miti. Ninaomba kufahamisha kuhusu chochote kuhusiana na mradi huo kwa wenye uzoefu.
Ninaomba kufahamu kuhusu mradi wa miti ya mbao, ninawazo la kununua shamba na kupanda hiyo miti. Ninaomba kufahamisha kuhusu chochote kuhusiana na mradi huo kwa wenye uzoefu.
Tatizo halianzii Kwa huyo shemeji yako Bali linaanzia Kwa mkeo mwenyewe, ukimfukuza shemeji yako bado tatizo lipo pale pale hizo dharau zimeanzia Kwa mkeo japo nahisi hujazigundua au hajaziweka wazi bado ila ni suala la muda tuu.
Nakushauri chukua bidhaa moja tuu kwanza mfano mchele, kama kuna uwezekano kuchukulia chaka kabisa sio kwa hawa wa mjini huko utapata Kwa bei nzuri sana. Nimekushauri uchukue bidhaa moja kwanza Kwa sababu
-mtaji ni mdogo na ni vyema wakati unaanza ubaki na pesa kidogo ku push biashara yako...
Habari za Majukumu,
Nahitaji mwanamke alie serious tufahamiane tukiridhiana tabia awe mke.
1. Awe Mkristo na Mcha Mungu
2. Awe muajiriwa au mwenye shughuli zake binafsi
3. Umri 28-30
Sifa zangu
1. Mkristo RC
2. Miaka 32
3. Nimeajiliwa ktk taasisi binafsi
Mengine tutafahamiana zaidi baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.