Kwa kweli hiki ni kilimo kizuri sn coz hakihitaji mtaji mkubwa sn na kwa wale wenzangu ambao tunaishi kwenye nyumba za watu unaweza ukaotesha ht uvunguni kwako. Mm niliotesha wa majaribio baada ya kupata mafunzo uliota vzr mno sasa nataka nianze rasmi.
Habari zenu wapendwa.mimi ni mjasiriamali mdogo ninapack bidhaa mbalimbali zikiwemo ubuyu, visheti na tambi. Lkn changamoto yangu kubwa ni vifungashio. Naomba kwa anaejua vinapopatikana anijuze plz
Kwenu wanajamvi.naamini mu wazima.Ninatamani kujua jinsi ya kutengeneza mikunjo ya vikoi vya batiki kwa pembeni sbb huwa ninaona nyuzi nyuzi lkn sijajua jinsi zinavyotengenezwa.
Naomba mwenye ujuzi ktk hili anisaidie tafadhali nina kiu.
kwanza napenda kuwasalimu.na poleni kwa majukumu.Nimekuja hapa jukwaan kuomba msaada wa mawazo.Mimi ni mwajiriwa wa serikali(mwl) kipato changu hakikidhi mahitaji yangu ya kila cku.napenda sn kijishughulisha lkn bado cjapata pa kujishikiza walau niingize ht 1000 kwa cku ktk muda ule ninapotoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.