Recent content by Raff rider

  1. R

    Trump ni mhamiaji asiyependa wahamiaji.

    Kama anafanya ivo kisheria ni poa t kwani watu wakimbilie huko? Nawashauri watanzania tupambane kujenga nchi yetu tukiwa hapahapa
  2. R

    Mchungaji apata kipigo, anusurika kuuawa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu

    Naskia et Hata wachungaji wa ng'ombe na mbuzi Kuna wakizidiwa wanapona humo
  3. R

    Masikitiko ya Kumpoteza Msanii wangu wa Rap, Jose Mtambo

    Duuuh inachanganya hii Jose kawa ivo!??
  4. R

    Uchambuzi: Hivi ndivyo kesi ya Yanga na TFF itavyokuwa huko CAS

    Cas nao ni kama TFF tuu apo ipangwe ck kipigwe tena mpira wetu unaitaj busara t, kanuni hazijawah kuzngatiwa Kikamilifu hapa bongo. Kuanzia juu huko TFF mpaka ndani ya mchezo unakutana na referees wa ajabu kina Kayoko. Hii ligi unafiki na vichekesho bas
Back
Top Bottom