Recent content by Radhi

  1. R

    Rwanda ni Kagame, na Kagame ni Rwanda

    Hapa cha msingi ni kuona vitendo na maswala mengine ya kimaendeleo yafanyika!! Muhimu si kupokezana uongozi. Nadhani alipowaifikisha Rwanda Kagame ndo wanyarwanda wanajivunia!!
  2. R

    Rwanda: Tanzanians Get Taste of Kagamecracy Made in Rwanda, and Loving it

    Unachosema hakieleweki, na hakiendani na yaliyoongelewa hapa! Rudi darasani kwanza!
  3. R

    Rwanda: Tanzanians Get Taste of Kagamecracy Made in Rwanda, and Loving it

    Kuna watu wanaandika bila kufikiria vizuri! Tusijitie aibu watanzania jaman, udogo wa nchi si udogo kimaendeleo na mengineo! Ni sawa na kusema eti Japan si lolote kwa maana ya udogo!!! Tupunguze pumba kichwan jamani. Na kujifunza kwa jirani kwa lolote zuri si vibaya!!
  4. R

    Tanzania to become EAC's ICT Hub

    Tatizo si kuwa centre of ICT, tatizo ni kwamba mtanzania wa kawaida anafanikiwa vipi, na je ICT au Information technology inamfikia vipi?
  5. R

    Rwanda kukifuta Kiingereza kufuatia mgogoro wa kidiplomasia?

    Nadhani kufuta kifaransa haikuwa tu sababu za ufaransa kuwa implicated ktk mauaji ya kimbari, kuna sababu kadha wa kadha, kiingereza kupanda chati ni sababu za kiuchumi vilevile. Kwa sasa haina maana eti kiingereza kitafutwa, no no!! Itakiuwa siyo nchi sasa!!
  6. R

    This picture proves that many Rwandans are forced to attend Kagame’s public events

    Lakini sioni hatari kuwa Rais fulani amefanikiwa ktk maendeleo na raia wakamuhitaji!! Na i think kuna mafanikio kemkem nchini Rwanda, waachieni uhuru wao wamchague wamtakao.
Back
Top Bottom