Hawa jamaa wanatia hasira sana kwakweli watu tumejipanga kukaa majumbani wanakata ni shida hawa watu
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Kweli Kuna muda mnaonekana kikwazo hivi leo weekend watu wanatulia na familia zao majumbani mmeukata umeme tokea saa nne kimara baruti hakuna umeme tatizo nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu ila mmezidi sana mbona private mnalipa kabla ndio mnapata huduma? Iweje hospital za serikali ndio muone kitonga yana mdhaminiwe bado kulipa unaleta utata ulitaka alipe nani? Ukizingatia Ni mapenzi ya mungu kama siku imefika..Pia hiyo hospital maskini mnaionea Kila siku mitandaoni...
Si ujinga mkuu hii kitu inaendana na uhalisia. Zamani ugali ulichukua nafasi kubwa sana kiasi kwamba ukipikwa wali nyumba fulani watoto wa majirani hawabanduki maeneo hayo na ilizoeleka huwa unapikwa siku maalamu. Sasa kwa kitu pilau lenyewe ilizoeleka katika matukio maalum haswa kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.