Labda Dar na kwenu Tanga. Huku Geita hatushibi tukila mcheleYaani ningependa kujua hivi kwa nini katika sikukuu au sherehe fulani au shughuli yeyote ile iwe ya furaha au majonzi/huzuni kwa nini pilau lazma ipikwe na sio chakula kingine kile kisichiendana na mchele.
Mnashiba mkila ugali na mabiboLabda Dar na kwenu Tanga. Huku Geita hatushibi tukila mchele
Yaani ningependa kujua hivi kwa nini katika sikukuu au sherehe fulani au shughuli yeyote ile iwe ya furaha au majonzi/huzuni kwa nini pilau lazma ipikwe na sio chakula kingine kile kisichiendana na mchele.
Ni msosi special unaohitaji maandalizi nengi ambao hauwezi kupikwa kila siku.. Ni sawa tu na kwenye mahusiano kuna siku maalum za 'kutunukiwa'Yaani ningependa kujua hivi kwa nini katika sikukuu au sherehe fulani au shughuli yeyote ile iwe ya furaha au majonzi/huzuni kwa nini pilau lazma ipikwe na sio chakula kingine kile kisichiendana na mchele.
Pilao/wali nazi ni kitu kingine dingiiii!Yaani ningependa kujua hivi kwa nini katika sikukuu au sherehe fulani au shughuli yeyote ile iwe ya furaha au majonzi/huzuni kwa nini pilau lazma ipikwe na sio chakula kingine kile kisichiendana na mchele.
Mshana Jr bhana, embu basi utupe mahusiano ya biriani na yule dada mwenye dishi lililoangalia posta!Ni msosi special unaohitaji maandalizi nengi ambao hauwezi kupikwa kila siku.. Ni sawa tu na kwenye mahusiano kuna siku maalum za 'kutunukiwa'
Si ujinga mkuu hii kitu inaendana na uhalisia. Zamani ugali ulichukua nafasi kubwa sana kiasi kwamba ukipikwa wali nyumba fulani watoto wa majirani hawabanduki maeneo hayo na ilizoeleka huwa unapikwa siku maalamu. Sasa kwa kitu pilau lenyewe ilizoeleka katika matukio maalum haswa kipindi cha sherehe. Sasa pilau sio kipindi hicho tena, limezoeleka kiasi kwamba hata wewe unasema ni kitu cha kawaida lakini imezoeleka ni chakula chenye mvuto kwa masherehe hata mikusanyiko..Ni ujinga wa watanzania wanafikiri kula pilau ni dili wakati ni kitu cha kawaida sana.
Pilau sio kitu cha kawaida asee. Labda upate MTU aliyekupikia wali wa rangi. Ile ni kitu nyingine.Ni ujinga wa watanzania wanafikiri kula pilau ni dili wakati ni kitu cha kawaida sana.
Pilau sio kitu cha kawaida asee. Labda upate MTU aliyekupikia wali wa rangi. Ile ni kitu nyingine.