Mambo vipi wadau
Naomba kujua kuhusu ushuru wa kuimport pikipiki
Kuna namna yoyote ambayo ninaweza nikaona kwenye mtandao wa TRA? Au unakadiriwa pindi waonapo pikipiki?
Hivi hii adha ya watu kusubirishwa mpaka miezi mi 4 sasa kupata leseni ya udereva, shida ni nini huko TRA?
Je, ni hizo material kama watu wanavyosema au ni nini?
Mwenye ufahamu na hili swala naomba jibu.
unataka kuniambia mfano hii s6 edge plus nliyokua nayo ..ikiflashiwa siipat tena,huwa wanabadilisha IMEI si ndio au? kwamba nkitaka niifatilie sim sitoipata...? na je wanaweza wakabreach security nliyoiweka na kusoma vitu vyangu wakat wanaiflash?
Ni kwel unalolisema....ila mim nafikiri pia jamaa alikua na point...Utem ni ule tu ubavu wa kwamba yeye ni mmarekan na tunamtegema kwa mengi ...ni sawasawa na familia zetu za kiafrika,familia nying unaweza ukakuta bwana mdogo anasinzia sebulen...afu mamamtu anamwambia akalale lakin dogo anabisha...
whats wrong with tecno? unajua kuna siku nlishangaa sana,kuna jamaa alikua ana Tecno phantom 8,akatokea mtu ana iPhone 5,kuna mtu pemben akaibeza ile phantom akisema "iPhone sim bwana,tecno ule uchafu tu". Ndo haya mambo ya kukariri kwamba kila iPhone ni expensive
unajua huwa najaribu kufikiria.....hiv kwel taifa kubwa lenye vyombo vya ulinzi na usalama kama marekani...washindwe kudukua iPhone...hahahahahahahahahah ni sawasawa ushindwe kufungua chumba cha houseboy wako et tu kisa funguo kaenda nayo dukan na nyumba ulijenga wew.
April mwaka jana nlinunua iPhone 7.
Uchakavu pia unachangia na matumizi
Samsung nliyonayo inatafuta mwaka wa3 sasa,sijawah kuipeleka kwa fundi,simu zangu huwa situmii cover ya aina yoyote...ila uchakav wa hii samsung uko kawaida tu. kiukwel nkiilinganisha na iPhone 5 ambayo nliitumia miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.