Hapendelei mambo hizo kabisa yf. Na imagine tunaishi kwenye jamii hiz hiz za kizaramo, ila yeye hayo mambonya mashuhuri hutakaa umuone. Sijui ma sare na mavitu hayo walaaah!!
Ahahahah Dahhh!!... braza umenikosea ujue.
Mimi ni mjasiriamali niliacahana na ajira rasmi 2020 June, na kwa nature ya biashara yangu naweza nikakaa home hata mwezi mzima na pesa ikawa inaingia bila tatizo, most of the time i preffer to work from home ofisin mengine yanaendelea labda nilazimike...
Mkuu nina zaid ya mwaka tokanniache haya mambo.
Na kiukwel toka niamue kutulia ndio naona hiz kero zake zinanisumbua, mwanzon hata nilikua sijali akinikera ila sasa nimeamua kutulia yeye anataka kunirudisha nje tena
Nafanya sana. With my kids.. kuna time nakua natenga muda kufanya hizo kazi tena mara nying sana lengo ni kuwafabya madogo wasiathirike na tabia za mama yao.. ni shida sana mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.