Ukisoma "Tanzania Daima" la jumatatu, tarehe 15th September 2014 ukurasa wa mbele unaona kichwa cha habari "Migomo, maandamano bila ya kikomo nchi nzima", "Mbowe aonya sasa basi, amshukia Sitta."
Pia ukisoma "Tanzania Daima" la jumatano, tarehe 17th September 2014 ukurasa wa tano unaona kichwa...