Recent content by rabadaki

  1. R

    JamiiForums Tanzania China pension funds financial crisis-China Raises Its Retirement Age

    Hizo statements mbili hapo chini zinatisha hi ni kumaanisha hali ni mbaya sasa kama wachina wanakiri hili basi ujue hali ni mbaya kwa nchi nyingi za ulimwengu wa tatu. Naamini kuna kitu kinafichwa na nchi nyingi kuhusu hali ya uchumi ila naamini mwakani kuna bomu kubwa sana la kiuchumi linaenda...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Marine Le Pen wa Ufaransa; Mfano wa viongozi watata wa mrengo mkali kulia Ulaya waliochoshwa

    Haya yanayoendelea ni katika mchakato wa kuzaliwa tena kwa dola la kirumi dola lenye nguvu kubwa na infact ndo litatoa mtawala atakayetawala dunia nzima na ndo litakuwa dola la mwisho ambalo infact nalo litaangushwa. Kwa hiyo ili dola la rumi lizaliwe tena lazima watokee viongozi wenye wivu na...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV

    Shukrani sana mkuu kwa ushari wako ubarikiwe
  4. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV

    shukrani sana mkuu ubarikiwe
  5. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV

    Shukrani sana mkuu ubarikiwe
  6. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV

    Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV Habari wana JF Naombeni ushauri wenu je kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1. 1HZ-manual cc 4,164 CC au 2. 1GD-FTV automatic 2755 CC ni ipi bora kwa maana ya 1. matumizi ya barabara ambazo sio za lami kwa...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Nancy Pelosi nchini Taiwan ilitoa jibu

    Yap kinyesi cha binaadam kwao mbolea!
  8. R

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Nancy Pelosi nchini Taiwan ilitoa jibu

    Sina haja ya kubishana na mfia china kobaaz kama wewe mwenye uelewa wa hapa na pale tena wa kuokoteza tena uelewa wenyewa wa kimaamuma.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Nancy Pelosi nchini Taiwan ilitoa jibu

    Mchina mwenyewe kufika hapo ni sababu ya techs za US na Europe, mchina huyu mwenye watu wengi ambapo inabidi wale mpaka popo eti ndo avimbe na US? Mchina kwa US bado sanaa.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Urusi yapeleka vifaa vya kijeshi kufanya mazoezi Carribean pembezoni mwa mipaka ya Marekani

    Tatizo watu wanaandika wakiweka mahaba mbele. Putinya tokea vita ianze mara kibao linatishia russia ina nyuklia russia ina nyuklia🤣😂😆 utafikiri wenzake wana manati Na sasa zele anamgonga nje ndani.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Urusi yapeleka vifaa vya kijeshi kufanya mazoezi Carribean pembezoni mwa mipaka ya Marekani

    Mahaba niue shida kwelikweli russia iishinde USA? Hii russia inayosaidiwa na iran (drones), north korea (missiles) na china kuikabili ukraine? Hii russia iliyouza alaska kwa USA, hii russia iliyomeguka from soviet baada ya akili kubwa ya USA kuimaliza USSR? Russia kamwe hana ubavu wa kuishinda...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Lengo la third interview kwenye international NGO

    Basi wape wiki tatu mpaka 4 mara nyingi ndani ya huo muda au baada ya mwezi 1 watakujibu
Back
Top Bottom