Recent content by raamar

  1. raamar

    Natafuta mchumba wa kike

    Awe mrembo,awe anajitambua,Elimu kuanzia Kidato cha sita na kuendelea,nahitaji mchumba wa malengo badae ndoa endapo Allah akitufanyia wepesi,Umri 18-22,NB awe Muislam Kwa aliye tayari anaweza kuntafuta humu 0676898197,nipo serious nahitaji mtu aliye serious pia,Mimi ni mtumishi serikalini
  2. raamar

    Iam looking a woman for longterm relation

    Duuuuuuh
  3. raamar

    Kibamia au dushelelee, Ukweli ni upi?

    Ah ah ah ah acha nicheke
  4. raamar

    Iphone 5s imeji-zoom nawezaje kuitoa?

    Kitu kidogo saaana hcho hata mm kilikuwa kinantoa jasho kwenye simu yangu,ila kutokana na utundu wangu nikajikuta mzungu kanizidi akili kwa kitu kidooooogo sana na naweza ku I zoom na kuitoa kwa sekunde tu,hata nikikutajia utajikuta nawewe mjinga kwa mzungu,ila kwa kuwa solved problem basi bro
  5. raamar

    Msaada: IPhone 4s inatumia sana internet

    Naomba mnisaidie, iPhone yangu inamaliza sana MB Megabytes sijui ndyo iPhone zote au ni ya kwangu tu, kama ni setting naomba mnielekeze nifanye setting, yaani nikinunua Mb700 fasta tu utaskia umebakiwa na Mb5 Plz naomba msaada wenu CHIEF MKWAWA na wengine
  6. raamar

    Natafuta mchumba mwanamke mwalimu

    Yeah Mwalimu
  7. raamar

    Natafuta mpenzi wa kike Kanda ya Ziwa

    Ngoja waje huko Pm mkuu
  8. raamar

    Natafuta rafiki best friand

    Duuuuh
  9. raamar

    American young lady,looking for husband here!!!

    Mtafute Lil Wayne au Drizzy Drake au Lloyd nao wanatafuta watu Kama nyinyi
  10. raamar

    Pm 10 tu za mwanzo accepted

    Freemason😳😳😳😳😳
  11. raamar

    Magaidi wavamia kijiji cha Msolwa Ujamaa, Kilombero

    Duuuuh ebwana eeeh Kilombero hiyo??,au wanataka sukari hao
  12. raamar

    Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

    😄😄😄 njoo inbox mapema sasa hivi
  13. raamar

    Chief Mkwawa ana mchango mkubwa

    Chief-Mkwawa danx nimeweza Kuweka ringtone kwenye iPhone yng bwana 👏👏
  14. raamar

    Chief Mkwawa ana mchango mkubwa

    Nimemuacha maeneo anakuja sasa hv🚶🚶🚶🚶
Back
Top Bottom