Habari.. vipi mgonjwa alishafanyiwa operesheni kabla? Kama hapana, basi Iko tiba ya dawa kienyeji.. mshua wangu imemponya, ilimchapa alikua analia kama mtoto mdogo, na babu yangu pia aliandikiwa operesheni kwenda Benjamin Mkapa Dodoma..nikawaambia please wait, akapata hiyo dawa na sasa yupo...