Taifa ni wote sio la watu wa tabaka fulani.wote tunastahiki national cake. Ila kukimbia vita sio uoga bali ni kwenda kujipanga ili urejee ukiwa stronger.
Wakati utafika .
Ukikaa na Jwtz wale wenye nafasi zq juu ukiwasikiliza wanapinga kabisa kukaa barabarani kama traffic officer tena kujihami dhidi ya mwananchi asyekua na mafunzo yoyote ya silaha . Ila kwa vile ni amri toka juu huwa hawana namna wanakubali tu ili kutoi mamlaka.
Zaidi wanasema Genz wamefanikiwa...
Hatari sana.
Samia Suluhu anasimama kwenye jukwaa la kampeni za uchaguzi mkuu anashindana hoja na Salum Mwalim , kula Luhaga Mpina.
Angataka fair election angesimama na wenye nguvu wenziye kidogo ila hao wawili ni Tyson na Mandonga .
Sio issue ya jinsia wala dini yake. Shida ni utawala wake haupo kufuata katiba. Kiongozi aliyeapa kuitetea na kuilinda katiba ya nchi leo anatoka hadharani na kusema katiba is just a paper!! . Huyu si layman wa utawala na anajua nguvu na umuhimu wa katiba katika maendeleo ya nchi.
Jana nilikua kwenye ofisi ya serikali tena taasisi ya kubwa tu hapa nchini. Walikua wanaangalia bunge la Kenya tena wanawasifia sana. Tanzania bunge letu halina ushawishi hata kidogo. Bunge halina uwezo wa kuwajibisha serikali zaidi ya kusifia serikali tu hata sehemu inayohitaji kukosoa wao...
2007 huko.
Na wanangu tumekula gambe then ile kuamka asubuhi hata hela ya kunywa supu hatuna.
Ila usiku tulikua na kauli yetu " nani kaiona kesho" kuna wimbo unahiko kibwagizo ila sisi mpaka leo ndio kauli yetu ya kujitia moyo tukiwa tumeshatumia hela vibaya.
Kwanza umeshasema siku ya wafanyakazi halafu wewe sio mfanyakazi nani atakupa nafasi ya kutoa hilo wazo lako.
Subiri siku ya Jobless duniani ndio utoe wazo lako huenda likapewa kipaumbele.
Waliopo kazini sidhani kama wanatamani kustaafu iwe kwa hiyari au lazima.
Ninaunga mkono hoja.
Wanaume huwa hatupendi kupunguziwa heshima katika utawala wetu.
Sometimes huwa natamani sana yule aliyekua mke wangu asome hili andiko lako. Sikumuacha kwa vile simpendi ila alinionesha ubabe tena mbele ya ndugu zake kuonesha kua hana cha kupoteza hata nisipokua naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.