Naomba kufahamu vitu vifuatavyo:-
1. Una bond ya kiasi kwa ajili ya transit goods.
2. Una container deposit waiver kwenye shipping line ngapi?
Naweza kufanya kazi na wewe kama nitaridhika na hayo majibu.
NB: nitakulipa agency fee tu iwapo tutakubaliana .
Nina wateja wa
LUSAKA
MAZABUKA
NDOLA...
Katika Mambo ambayo Mungu alikosea ni kuruhusu mwanaye auawe badala ya shetani.
Anayepelekea watu kutenda dhambi no shetani iwaje tena auawe asiye na dhambi.
Kwa maana hiyo shetani ataendelea kuwa nasi mpaka ukamilifu wa dahali.
@Ami biashara tukifanya hivyo hatutatoboa Bora ibaki kwenye finance book kama ni debtor mpaka itafika muda wa kuhesabu kama loss . Ila Kwa sasa bado mapema.
Ahsante Kwa ushauri wako pia
Alifeli sehemu ndogo Sana kwenye kutafuta trucks za kubeba mzigo. Aliwatumia madalali wenye njaa . Wakampa bei ambayo haipo sokoni na yeye kwa hofu ili mzigo usichelewe akaingia mkenge.
Can you imagine sehemu ya kwenda Kwa USD 4300 yeye walimwambia USD 4700 hivyo Kwa gari sita tayari hesabu...
Trucks Mkuu. Ila huwa ninawateja ambao ninachukua kazi ya clearing na transportation as well. Ambapo kwenye clearing huwa kuna rafiki yangu yupo na clearing company ndio anafanya hizo kazi Kwa kumlipa agency fee Tu.
Mkuu hata akinilipa kidogo kidogo Mimi sina shida . Let's say anipe Dola 100 kila mwezi sio tatizo.
Lengo ni awe na dhamira ya kunilipa tu kuliko hivi anavyonifanyia. Hizi biashara zetu ni chain hivyo tunasaidiana Sana.
Sometimes unapeleka mzigo hata Rwanda Bugarama huko na hauchukui hata...
Hapana Mkuu simpi pressure Ila nahisi anaona aibu kunikabili sasa na Mimi nataka kuongea naye kama ulivyosema na ndivyo nilivyodhamiria kunilipa yote Kwa wakati huu hawezi.
Ila sasa ilitakiwa tuonane ndio mipango na makubaliano yafanyike akinikwepa nahisi kama ana nia ya kunidhulumu.
Habari za usiku wanajamvi.
Kwanza nikiri kuwa nilifanya uzembe Kwa kuleta ujamaa kwenye biashara.
Nashughurika na Mambo ya Logistics sasa last year kuna jamaa yangu mmoja alifungua kampuni ya clearing & Forwarding Ila kupata kazi ilikuwa kipengele hivyo akaniomba nimpasie angalau wateja wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.