Hapana rug jina halina disturb love sababu mimeshatoa maelezo na vigezo mi ni boy bhana cio girj sawa kama vp wani PM ili tuongee mengi bac!! nawe badlisha jina ili twend sawa uk pw ni PM?
Daaaa ucsikie sehemu hizi,,chest around garden uciseme da!da!daaaa akipitisha mkona wake laini kama npo jiji la maraha pale paris.. The sikion akishikaa nywele zote za cheza na za simama akilama kwa shingo holla kama upo pale ndani ya san siro unasakata raha mwisho akitumia vizuri vidole vyake...
simple sana mtumie kadi yenye ujumbe mzuri wa kumsifia au mpe hata mtu akupelekee maana uta sema unamuogopa kwanza atajifanya anapotezea after that njia ya kumuanza umeshaipata madada hawana say mbele ya gentlman bhana mpe sifa alizonazo msifie madada ni kusifiwa ni ugonjwa wao bhana kiumbe...
Mtoa madaa big up kwa uliyoyaona maana ni XXL kuliko mpaka umeyamwaga hapa daaa ni kweli bhana mtu unaweza kusuka dred hukoooo hadi rangi inabadilikaaa ucseme boxer ile tom hilfiger ndo zinabamba bac nyekundu inakuwa kijivu cjui usafi 0%
Relation siku hz hamna uaminifu that's
UKO WAPI...kama haupo naye anajua teal umesha tade na mtu mwingine coz hamna uaminifu wote take care boy/girls
UMEKULA,....hapa haionekani kama anakujali sana wala nini ila kama mnaongea through phone anataka ucptie sehemu yeyote ile..wakati mwingne mda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.