Kabudi ni Rapper Wa Sheria Asiejua Kupangilia Mashairi.. Mungu kamjaalia Sauti Kali kama Punda Ila akiongea haeleweki zaid ya kusikia kelele kama za punda aliepotelewa na mwanae na ndio maana hamna kitu amefanya ktk issue y makinikia zaid y kutuaminisha uongo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Bajet iliotengwa kwa ajili ya kununua wapnzani imekwisha.. Labda tusubri bajet ijayo coz ile biashara inahitaji hela nyingi na sasahiv wamestuka.. hawataki ahad.. wanataka watie chao mfukoni kwanza kabla y kuunga mkono juhudi za mh JIWE..
Waachen WaZanzibar Wajiamulie Mambo Yao.. Muungano usiwe kero..
Sisi tusubir mgomo wa Waalim Kenya.. Huenda tukabahatika.. pia msisahau kaulimbiu ya HAPA KAZI TU maana siku hizi mmeipotezea..
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.