thomaskitomari
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 472
- 201
Nimekuelewa sana mkuu maana umeelewa sasa kuna watu ambao hawajui/hawajaribu kufikiri wanadhan kaomba kuonana na Stone, Hahahahahahahaaaah .Fisiems bhanaWatu wenye uelewa wa ushabiki tayari mmeshindwa kuelewa mantiki ya press release hii. Kitendo cha main point kuwa ni kushukuru kukubali kumuona tayari hiyo ni propaganda kama ile ya Lowassa ambaye kamwita mwenyewe kasha wanageuza eti kaomba kuonana.
Awamu hii propaganda za kitoto nyingi mno