Recent content by quimby_joey

  1. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Wafuasi na Mashabiki wa Iran, wanajiliwaza kwa picha na Video feki za AI

    Nimeona political analyst mmoja anahojiwa Al Jazeera anasema vita hii imechukua 4-5 days kwa usa kukamata anga la Iran kwasababu radar ya wairan haizisomi usa 4th-5th generaltion (F-16, F-22 or F-35) planes. Hii inafanya waisrael na usa kujipigia Iran watakavyo. Huyu political analyst anasema ni...
  2. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mkuu tusaidie sisi waswahili wa Buza lugha kidogo tatizo, hiyo here say maana yake nini
  3. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sahihi kabisa ila kwa kutumia Google itakusaidia kuona picha zinazorushwa humu. Kama nilielewa vizuri tatizo unalopata maana nilikua nasumbuka hivi pia
  4. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Tumia google ku access jamiforums mkuu, kwenye app picha hazionekani
  5. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    US na NATO watakuja kustuka very late kua huyu jamaa alikua jasusi wa warusi kujua uwezo wao wa silaha za kivita
  6. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sisi pro Ukraine tunasubiri kusikia kutoka kwa mtakwimu wetu Kipanya44 leo wamechinjwa warusi wangapi pale Bakhmut
  7. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Kuna mmoja wao ana copy kutoka kwa mwenzie. Mwenye story yake kaamua kusitisha ili amdhalilishe yule anayefanya plagiarism. Hii stroy imeisha/itaendelea endapo tu mwizi atajisalimisha
  8. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

    Alikuja kusema badae kua FM alimtumia message Telegram kumwambia kwanini hapokei simu yake
  9. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Benard Membe: Musiba hasimami tena na kujifanya yeye ni Mungu Mtu. Huko uliko naomba hela zangu

    Linafunga blaza. Civil Prisoner
  10. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

    Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
  11. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Hivi kumuota mtu mara kwa mara ina maana gani?

    Mimi imenitokea sana scenario hii, naweza nisionane na mtu (+me/ke) hata mwaka au zaidi, na ikatokea siku tu nikamkumbuka/kumuwaza. Haipiti siku mbili/tatu LAZIMA either nikutane nae au anipigie simu. Hii kwenye ulimwengu wa roho imekaaje?
  12. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Nchi isipotii amri ya viongozi wake kufika Mahakama ya Kimataifa ya ICC, huchukuliwa hatua gani kulazimisha?

    Soma vizuri ndugu uelewe nilichoandika
  13. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Nchi isipotii amri ya viongozi wake kufika Mahakama ya Kimataifa ya ICC, huchukuliwa hatua gani kulazimisha?

    Nadhani utakumbuka pia kiburi cha Mkenya kiliishaje baada ya kuanza kuonyesha jeuri/ukaidi wa kujiona ni taifa huru, halipangiwi: mapigo ya Al Shabaab yakaanza non-stop, jamaa wanatoka Somalia hadi Nairobi na kwingineko wanapiga matukio wanaondoka, wakawa wanaua askari na wanajeshi kila kona...
  14. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji kukutana na M/kiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU kutoa ufafanuzi dhidi ya taarifa za upotoshaji

    Ukitaka kujua uwiano wa unachokisema angalia jinsi walivyoenda wao wenyewe pale central kumchukua Lissu baada ya kukamatwa, wakahakikisha anapata passport yake mpya huku wamempa hifadhi wiki nzima, wakampeleka kwa escort yao hadi JKNIA, wakampandisha ndege na wakahakikisha amefika salama. Mara...
  15. quimby_joey

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji kukutana na M/kiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU kutoa ufafanuzi dhidi ya taarifa za upotoshaji

    Itapendeza siku atakayofika kwa Mcallister amkute na Lissu ambae yuko hapo hapo Ubelgiji nae kaitwa kwenye hicho hicho kikao.
Back
Top Bottom