Siku ya valentine day tumeenda beach ile kufika kushuka tu nikabebwa mgongoni kama Katoto hadi sehemu ya kukaa watu wote wakiwa wanatuangalia sisi [emoji8]ni mengi amenifanyia ila ikitokea siku nimeachana na huyu kaka Mungu naomba unisaidie niweze kuendelea kuishi kwa furaha [emoji24][emoji24]...
Mwanamke akikupenda hakunyimi kitu, yani hata angekuwa bk nakutunuku tu kama nimekuelewa alafu kingine jiangalie labda hauko smart hunikii au hujisafishi vizuri kinywa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Dah nimecheka sana mara anakula haraka haraka mara kukwamwa na mifupa dah kama ni kweli hii dunia Ina mambo mengi sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huwa nashangaa sana nikiona kijana anachezea afya yake kirahi rahisi kama hivi,, jaman sisi tuliopo idara ya afya tunajionea mengi. Ukimwi upo wa kutosha [emoji24][emoji24]
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.