Huo sio unafiki, baba yake alipomtelekeza alikuwa anasaidiwa na nani kama sio watu baki tu! Yaan nyie msiyowahi kutelekezwa na wazazi mnachukulia mambo simple simple tu mpaka mnabore[emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23] tukiwa shule ya msingi, alikuwa akitoka kuangalia mechi ya simba na Yanga, halafu Yanga ikitoka imefungwa hasira zote zinaishia kwetu asee. Bi mkubwa alikuwa akijua tu simba na Yanga zinacheza alikuwa anatuwahisha kulala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.