Recent content by Queen sasha

  1. Queen sasha

    TUWE MAKINI TUNAOTAFUTA AJIRA

    Hii mada ni hatari juzi juzi yalinikuta mtu katangaza ajira yupo mkoa mwingine alafu anataka mfanye kazi bila kumjua wala kufahamu office zao zilipo wala hakuna mkataba wowote kisa tu anaona upo na shida ya kazi ......uache hiyo tabia wewe mtu popote ulipo
  2. Queen sasha

    Bado natafuta kazi

    Development planning Development planning
  3. Queen sasha

    Bado natafuta kazi

    Nafanya biashara ndogo ndogo lakini bado haijakidhi mahitaji yangu......asante wewe ni unautu
  4. Queen sasha

    Bado natafuta kazi

    Kuhusu biashara ndogo nafanya lakini naona mahitaji ni mengi kuliko kipato Naomba nikuache maana dunia inamengi na mwenye shibe hamjui aliye nanjaa siwezi kukueleza matatizo yangu please kama wewe umepata usidharau wenzako
  5. Queen sasha

    Bado natafuta kazi

    Habari wanaJf Mimi ni msichana miaka 25 ninaelimu ya diploma natafuta kazi yoyote itakayonipatia kipato halali naishi Dodoma.Mimi ni binti mwaminifu na mungu ni shahidi juu ya hilo.naomba kazi yoyote kama kuuza duka la bidhaa zozote jumla au rejareja Supermarket,sheli au duka la vipodozi...
  6. Queen sasha

    Msinichoke bado natafuta kazi

    Habari wapendwa nimerudi tena natafuta kazi yoyote itakayoniingizia kipato halali .Nina diploma ya development planning nipo tayari kufanya kazi yoyote Naishi Dodoma
  7. Queen sasha

    Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] usisahau malimau kuja nayo pm
  8. Queen sasha

    Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

    Yani tabia zao kama wamekuja na Lori La ndizi usiku ...kulivyo pambazuka wakajikuta mjini.........mfyuuuuuuuu zao
  9. Queen sasha

    Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

    wacha niache tu lakini .......
  10. Queen sasha

    Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

    si mchukii mtu lakini humu JF kunacouple flani inakeraaa aaaagrrrrrr.....
  11. Queen sasha

    Naombeni ushauri huyu msichana nimuache au nifanyaje?

    Wanaume hajijui mnataka nini ..maana sazingine mnawaponda wenye maji...leo hii mnawasifia
  12. Queen sasha

    Natafuta kazi

    Napendelea Dodoma na mikoa ya karibu alafu kuhusu nje ya Dodoma kama mkoa gani?
Back
Top Bottom