Hiv dawasco sie wakaz wa sinza D tumewakosea nini.. maji wiki ya tatu hakuna, tukiwapigia hamtupi majibu ya kueleweka...achen ukiritimba token huko mlikojichimbia nje mtatue kero za wananchi
Nenda mlimani dispensary chuo kikuu UDSM kuna daktari mzuri wa watoto anaitwa dr Chacha.. mi mwenyewe mwanangu alisumbuliwa kama hivyo nikazunguka hospital kama mbili hiv namshukuru mungu kwa mkono wa dr huyo alipona after 4days tu.. maana nilikuwa nakesha kumuangalia jinsi anavyopata tabu ya...
Kwa kweli we move on tu.. usilazimishe vitu ambavyo inawezekana huko mbele ukajuta.. hakuna hisia nzuri kama kujua unaempenda nae Yuko kwa ajili yako.. hao unaowakataa inawezekana mmoja wapo ndo kaumbwa kwa ajili yako.. usijinyime nafasi ya kupata furaha, siku hazisimami na maisha ni mafupi hebu...
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania, Wapendwa naomba msaada wa kujua foundation powder nzuri kwa sie wenye ngozi za kiafrika,gharama zake na sehemu nayoweza kupata bidhaa hiyo.. Shukran
Hilo ndo analolitaka huo wema wako kwake anauona hauna maana if kama humpi nafasi ya kukaa chemba na mwanae.. kwan unaumia nini siku baba jairo akiwa nyumban ukatafta kasafari ka uongo na kweli ka masaa hata kumi ukawaacha wawili tu nyumban wapige story zao....ukijenga hayo mazoea wala hupati...
Mi nadhan sisi wadada tunaoolewa ndo tuna matatizo kuweka negative perspective kwa wamama wa waume zetu/mawifi/mashemeji na hii nadhan inatokana na kukaririshwa na jamii inayotuzunguka kiasi unakuta mtu anajiandaa kabisa kutoa negative reaction kwa huo upande lengwa...tunawapa wakat mgumu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.