Ikiwa yote haya mnayotutangazia yameshindwa kuwa na impact ya moja kwa moja kwenye standard ya maisha ya watu basi tuna kila sababu ya kuiona kama mikwara tu.Eti tupo kwenye kipindi cha mpito!!!!!!!!!! Sasa tukiwa kwenye kipindi cha mpito ndo hali za maisha ya watu ziwe mbaya mara mbili ya...
Mpaka dakika hii bado nazifuatilia siasa za nchi hii kwa sababu ya mtu mmoja tu..."Tundu Antipas Lissu". Nam appreciate mno huyu bwana.Amebarikiwa kiukweli.Hata nyie mnaojaribu kuleta unafiki katika hili naamini nafsi zenu zinawasuta.
Odds 5.7 usiku huu kwenye NBA na Uchaguzi wa USA
Hillary Clinton 2016 winning candidate-1.20
L.A clippers v Detroit Pistons-1(1.22)
Chicago Bulls v Orlando Magic-1(1.30)
Philadephia v Utah Jazz- (3.00)
Kila la heri kwa tutakaekuwa pamoja
Sure nimeona mkuu.Maneno yako yametimia.Chicago wana lack consistency sio wa kuwaamini.Leo nimeamua kumfuata tena San Antonio,,nikampa pia Le Mans Basket(France LNB) na Budocost(ABA) league.Sijui unazionaje.
Ni dhahiri kabisa kwamba kwa sasa Madrid wapo stronger zaidi ya Barca.But najaribu kutumia home field advantage kwa Barcelona japo hiyo odd ya 2.05 ya Real hata mimi inanitamanisha.
Usisahau kumwongeza Brose Baskets...anacheza na Bayern the same date
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.