Recent content by quantum number

  1. Q

    Miaka miwili ya Wallace Karia madarakani

    huyu msomali ni mufilis kabsa
  2. Q

    VODACOM mmeanza kunyoosha mikono kwa jeuri zenu!

    nko zangu halotel napata gb1 kwa buku na madk kibao..internet ya kas fresh
  3. Q

    Aliyekuwa Mrakibu wa Polisi, Kinondoni akata rufaa dhidi ya hukumu yake ya kunyongwa hadi kufa

    daaah hii kesi ilitiksa sana miaka ile..et akina zombe wakatoka dismis.. daaaah iliumiza sana..wafanya biashara wamekamatwa sinza..wamepelekwa mabwepande kuuliwa afu waliowapeleka uko na kuwaua wanatoka dismis... daaaah inaumiza sana
  4. Q

    TBC sijui nani kawaroga

    km kuna mtu anafaham jins ya kufuta Chanel kwny king'amuz plz naomba anijuze..siitak tbc
  5. Q

    Nimeona korosho ina kichwa kama cha mtu... one maajabu haya

    sisi watu wa kusin serikali imetuangusha sana kwny korosho mcm uliopta kwan mpk iv sasa watu wengi bhado hawajalipwa...mbaya zaid wabunge wetu wakitutetea chama fulan knawapga mkwara kwamba knawasubr 2020 kiwakate..loooooh
  6. Q

    Gwajima anapoamua kuwalisha wenzake 'pilau'

    gwajiboy anatuona watz sisi wajinga sana..et anatulazmisha tuione ile video ni fake ..daaaah tz noumer
  7. Q

    Justine Kasusura: Mtanzania aliyefungwa "kwa kupiga pesa ndefu" ktk historia ya Tanzania na kisha kupangua kifungo bila wakili Mahakama ya Rufaa!!

    huyu kasusura ni kweli aliiba hzo pesa sema tyuuu udhaifu wa sheria zetu ndo ukamfanya atoke dismiss Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Q

    Halotel ni nani aliyewaroga?

    uku kwetu masas halotel iko fresh ina speed but wameanza kula kwa kas mb zao hiz..tofaut na zaman .. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom