daaah hii kesi ilitiksa sana miaka ile..et akina zombe wakatoka dismis.. daaaah iliumiza sana..wafanya biashara wamekamatwa sinza..wamepelekwa mabwepande kuuliwa afu waliowapeleka uko na kuwaua wanatoka dismis... daaaah inaumiza sana
sisi watu wa kusin serikali imetuangusha sana kwny korosho mcm uliopta kwan mpk iv sasa watu wengi bhado hawajalipwa...mbaya zaid wabunge wetu wakitutetea chama fulan knawapga mkwara kwamba knawasubr 2020 kiwakate..loooooh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.