Maana yake vyuo vyote ni sawa tuu muhasibu anapimwa kwa CPA sio degree alisoma wapi, so nenda kokote. Usifikiri kama ukisoma Mzumbe BAF utapata priority kwenye ajira kumshinda aliyesoma Accounting TEKU lakini ana CPA
Nina hisi hicho ila anadai mtoto akinyonya anatapika hivyo hospitali wamemkataza kunyonyesha na anasema kaambiwa ni jambo la kawaida, ila me i doubt ndio maana nimejaribu kuuliza humu kama kuna mtu ashawahi sikia hii kitu.
Hello
Kwa wataalamu wa afya ningpenda kujua ni sababu gani zinamfanya mzazi akatazwe kunyonyesha mtoto ukiacha ya HIV ambayo ndio pekee naifahamu.
Leo nimeshangazwa kuona mzazi hanyonyeshi tena mtoto sababu anasema maziwa yake ni machafu hivyo ameshauriwa ampe mwanae maziwa ya ng'ombe au kopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.