Sawa best 🙏✨ ngoja nikuweke vizuri upande wa kiroho kuhusu kwa nini Mungu alimruhusu Yuda kumsaliti Yesu.
1. Sehemu ya mpango wa Mungu wa wokovu
Kabla hata Yuda hajazaliwa, maandiko yalikuwa yametabiri juu ya kusalitiwa kwa Yesu (Zaburi 41:9, Isaya 53).
Ili wokovu utimie, Yesu alipaswa...
Huyo mama kweny video ni Shangaz yang,Nilipita kumpa pole lakin hali yake y kiuchumi siyo nzuri,anasema walipelekwa Hospital mara moja(1) lakin Afya zao hazijatengemaa , kiugwana tu Serikali haijachukulia hili swala kiuzito waathilika ni wengi na Sumu hiyo ni hatari kwa madhara kwa waliyotumia...
Swala la Kuzuia hilo jambo ni kumkosea/kumnyima mtoto Furaha na uhuru sababu watoto wanazuiw kufanya vitu vingi mfano movie nyingi hawastahili kuangalia , Mfano kuna Huyu mwakatobe wa hapa Bongo Anatumia lugha chafu na watoto wanakalili . Me naona wawekewe muda maalum tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.