Wewe hakikisha mkeo hayupo nyumbani,kaa sebuleni ukiwa na taulo na hujavaa boksa. Namaanisha kaa uchi na hakikisha ameuona huku ww ukijifanya uko bize na kusoma gazeti huna habar...utapata mwitikio chanya
Kuna mbuzi mmoja leo ofisini ananiambia anaomba mchango wa harusi ya ndg yake aliepo mkoani wakati hata sijawahi kumuona.nikamuuliza ni nani yako akajibu mtoto wa dada yake..nikamwambia nitamjibu.
Imetoka hiyo
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hiyo ndio dawa yao...mwanamke msaliti sio wa kumvumilia.
Ukipata nafasi ya kumuumiza mwanamke muumize haswa.
Over
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kuna mmoja huyo ameshindikana.
Yaani kila bar utakayokwenda lazma atafika. Anachokifanya ni kupiga video call kwny group la WhatsApp..ukirespond anaangalia mazingira mliyopo..atawazungukia wrote akirudi kwake kalewa for free.. nowadays tunapiga kitungi nje ya mji kwa kero zake halafu hana aibu...
Wanawake wanatufanya tuondoke duniani mapema.
Kuna rafiki yangu wa kitambo ni mhasibu kwenye shirika fulani,yuko vzr kiuchumi,amejenga nyumba nzr ana mke mzuri pia .
Ni muda umepita hatujaonana kutokana na harakati za kimaisha ila juzi tukakutana kwny moja ya bar ambapo tulipendelea kupata...
Hili ndilo jambo linalonisumbua kwa Sasa,nilipohamia mkoa huu kuanza kazi ndipo nilipokutana na huyu mwanamke.tulidumu ktk mahusiano kama mwaka na nusu Kila Mmoja akaanzisha maisha yake mengine. Baada ya mwaka Mmoja kupita akaanza kunitafuta kwenye simu mara kwa mara,aliomba tuktane Kuna jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.