Serikali ya CCM chini ya Rais Samia inajitahidi kuipa vipaumbele Simba na Yanga kwa kuwaahidi million 10 kwa kila goli lakini inaendelea kuua vipaji kwa watoto
Eneo la Mtoni Mashine ya maji /Mtongani
Mkuu wa wilaya pamoja na halmashauri wapo kwenye mpango wa kuua uwanja wa mpira au open space...
Refa aliyechezesha mechi kati ya Simba na Singida alikuwa sahihi kwa asilimia mia.
Fifa ilitambulisha Sheria mpya kwenye mashindano ya world cup yaliyofanyika Qatar, Moja ya Sheria waliotambulisha ni kwamba dakika za nyongeza zitaongezwa kwa kadri muda wa mchezo ulivyosimama na pia kwenye...
Saidi dabani hakufa wizini japo alikuwa mwizi,alifia kazini akiwa kama kondakta Ganda la chungwa ndio ilisababisha kifo chake wakati anataka adandie daladala yake aliteleza na kukanyagwa na gari
Ukitaka ujifunze karate vizuri soma chini ya walimu waliofuzu namaanisha masensei
Kuna Mmoja sensei Yahya mgeni dojo lake lipo ilala bungoni ccm,gongo la mboto na ubungo
Kuna sensei kheri kivuli yupo shule ya uhuru kkoo
Na wengineo
Ukweli mchungu Karia ana asilimia kubwa ya kushinda ,kila la heri Ally - JamiiForums
Michael Richard Wambura alikuwa hajui anapambana na nguvu gani.Kipindi cha uchaguzi nilitamani sana Ally Mayay ashinde na wapenda soka wote walitamani iwe hivyo lkn niliandika uzi humu 90% atashinda karia kwa...
Wambura namfananisha na Giwa na maalim seif anajipotezea muda tu - JamiiForums
Ndugu Michael Richard Wambura nilimshauri sana humu Jamii forum kuhusiana na maamuzi yake ya kupeleka kesi za mpira kwenye mahakama za kiraia wakati kuna mahakama za mpira na football associations ni independent...
Mkuu kuwa makini usipende kukaa au kwenda kwenye flats hakufai na usijiunge na makundi ya kihuni kama the Americans na numbers tu utaharibu maisha yako
Kwa hali yako najua utakaa mitaa local kama mitchells plains na mengineo just umakini tu unahitajika sabb wahuni wengi
Fursa zipo sema huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.