Recent content by py thon

  1. py thon

    Mkuu wa wilaya Temeke anataka kuua uwanja wa mpira na kuweka mashimo ya maji taka kwenye makazi ya watu

    Kwahiyo kuweka madampo ya maji taka,mavi kwenye open space ni sahihi tena kwenye makazi
  2. py thon

    Mkuu wa wilaya Temeke anataka kuua uwanja wa mpira na kuweka mashimo ya maji taka kwenye makazi ya watu

    Serikali ya CCM chini ya Rais Samia inajitahidi kuipa vipaumbele Simba na Yanga kwa kuwaahidi million 10 kwa kila goli lakini inaendelea kuua vipaji kwa watoto Eneo la Mtoni Mashine ya maji /Mtongani Mkuu wa wilaya pamoja na halmashauri wapo kwenye mpango wa kuua uwanja wa mpira au open space...
  3. py thon

    Refa aliyechezesha leo alikuwa sahihi kwa mujibu wa sheria

    Refa aliyechezesha mechi kati ya Simba na Singida alikuwa sahihi kwa asilimia mia. Fifa ilitambulisha Sheria mpya kwenye mashindano ya world cup yaliyofanyika Qatar, Moja ya Sheria waliotambulisha ni kwamba dakika za nyongeza zitaongezwa kwa kadri muda wa mchezo ulivyosimama na pia kwenye...
  4. py thon

    Kelvin John (Mbape) alimkosea nini coach Adel Amrouch?

    Kwa uongo haujambo
  5. py thon

    Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

    Kuna mwamba ana kesi nzito lkn huu ni mwaka hajakamatwa anaishi kiculture sana huyo jamaa.. sijui huyo Rasta alikuwa haishi kiculture
  6. py thon

    Maskani Fama Gusta-Mikoroshini - Temeke...

    Magomba kafariki mwaka 2016 na sadam amefariki 2019
  7. py thon

    Mkasa wa msanii Omary Omary na imamu wa msikiti ambaye ni baba yake

    Saidi dabani hakufa wizini japo alikuwa mwizi,alifia kazini akiwa kama kondakta Ganda la chungwa ndio ilisababisha kifo chake wakati anataka adandie daladala yake aliteleza na kukanyagwa na gari
  8. py thon

    Msaada: Natafuta Mwalimu mzuri wa Karate Dar

    Ukitaka ujifunze karate vizuri soma chini ya walimu waliofuzu namaanisha masensei Kuna Mmoja sensei Yahya mgeni dojo lake lipo ilala bungoni ccm,gongo la mboto na ubungo Kuna sensei kheri kivuli yupo shule ya uhuru kkoo Na wengineo
  9. py thon

    Wambura hakujua anapambana na nani saizi muda si mrefu ataanza kujuta

    Ukweli mchungu Karia ana asilimia kubwa ya kushinda ,kila la heri Ally - JamiiForums Michael Richard Wambura alikuwa hajui anapambana na nguvu gani.Kipindi cha uchaguzi nilitamani sana Ally Mayay ashinde na wapenda soka wote walitamani iwe hivyo lkn niliandika uzi humu 90% atashinda karia kwa...
  10. py thon

    Ifahamu Al Ahly watakaomenyana naSsimba SC

    makombe 3 ya ulaya mfululizo ..bingwa mtetezi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. py thon

    FIFA yamfungia maisha Michael Wambura kujishughulisha na masuala ya mpira wa miguu duniani

    kwanini asipeleke CAS? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. py thon

    Wambura namfananisha na Giwa na maalim seif anajipotezea muda tu

    vp unasemaje sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. py thon

    FIFA yamfungia maisha Michael Wambura kujishughulisha na masuala ya mpira wa miguu duniani

    mahakama kuu na mpira wapi na wapi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. py thon

    FIFA yamfungia maisha Michael Wambura kujishughulisha na masuala ya mpira wa miguu duniani

    Wambura namfananisha na Giwa na maalim seif anajipotezea muda tu - JamiiForums Ndugu Michael Richard Wambura nilimshauri sana humu Jamii forum kuhusiana na maamuzi yake ya kupeleka kesi za mpira kwenye mahakama za kiraia wakati kuna mahakama za mpira na football associations ni independent...
  15. py thon

    Ndani ya cape town

    Mkuu kuwa makini usipende kukaa au kwenda kwenye flats hakufai na usijiunge na makundi ya kihuni kama the Americans na numbers tu utaharibu maisha yako Kwa hali yako najua utakaa mitaa local kama mitchells plains na mengineo just umakini tu unahitajika sabb wahuni wengi Fursa zipo sema huko...
Back
Top Bottom