Recent content by pweza11

  1. P

    Bungeni: Ni mbunge yupi atamrithi Kafulila kwa kufichua ufisadi Serikalini?

    Hatujamwacha Nae yumo tukisema tutaje wote tutakesha kama waitala yule wa ukonga nae machachari
  2. P

    Bungeni: Ni mbunge yupi atamrithi Kafulila kwa kufichua ufisadi Serikalini?

    Litakua na mvuto kwakua kuna sura mpya nyingi sana zingine hatuzijui zinakujaje. Lakin zaidi wengi walioangushwa hawakua na challenge so tutegemee mengi mapya.
  3. P

    Bungeni: Ni mbunge yupi atamrithi Kafulila kwa kufichua ufisadi Serikalini?

    CCM walikuwepo kina Deo . Ester na Lembeli kwa sasa tuone nan atakuja ukizingatia wananchi siku hizi hawalembi so kila mtu atafanya kazi sasa
  4. P

    Vifaa kama BVR vyanaswa vikiandikisha Dar

    Soma Magazeti ya Leo Taarifa ipo
  5. P

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Nimeamua kuchoma sindano kwa sasa naona Tiba ya vidonge imekua sugu mwilini.
  6. P

    Naomba vyombo vya Dola kuwa makini na usanii mpya wa kuchangia Lowassa

    Yan Magamba nao wataiga. Kila kitu wanaiga tuuu
  7. P

    Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

    Na sisi tuna vigezo vyetu ujueee
  8. P

    Tundu Lissu: Richmond ni ya Rais Kikwete

    Ianze lini wakat ilikuwepo toka mwaka 1984
  9. P

    Vigezo mbadala 10 vya ushindi kwa John Pombe Magufuli

    Kuna ambao wamehama wanajulikana kama viongoz na vipi wanachama usiowajua? Na vip ambao hawajitangaza lakin tutaonana tar 25?
  10. P

    Vigezo mbadala 10 vya ushindi kwa John Pombe Magufuli

    Kingine kat ya wanachama hao mil 8 una uhakika wangap wamehama had leo? Wangap wameondoka na lowasa?
  11. P

    Vigezo mbadala 10 vya ushindi kwa John Pombe Magufuli

    Nitajie hata jimbo moja walilopita bila kupingwa
  12. P

    Vigezo mbadala 10 vya ushindi kwa John Pombe Magufuli

    Hayo saba ni yapi wakat wamekata rufaa? Unajua unachokiandika?
  13. P

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Nini tiba sahihi ya homa. Maana naweza umwa maralia au Typhoid au U.T.I lakin baada ya kutibia homa inabak pale pale
  14. P

    Lowassa aachiwa zigo la kujinadi huku akiwa hana uwezo!

    Alienda na majina yake mfukoni
Back
Top Bottom