Recent content by Pwembweleo

  1. P

    Masai na kesi ya simu

    Siku moja huko maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro wamasai waliiba simu ya mmoja wa wahifadhi wakaondoka nayo. Mhusika alipokuwa anaitafuta simu akawa anabip bila kupokelewa. Siku iliyofuata akawakamata wamasi wawili wakiwa na simu hiyo na kuwapeleka mahakani. Hakimu alipouliza ni kweli mlitenda...
  2. P

    mmh hawa watoto noma

    Imetulia hiyo! Umetisha
  3. P

    Urafiki wa uwongo

    teh! Teh!
  4. P

    Urafiki wa uwongo

    Mtu moja mcha Mungu alipewa nafasi ya kuomba kitu chochote kwa Mungu kwa sharti kuwa atakachoomba rafiki yake atapewa mara mbili yake. Jamaa akafikiri akaona akiomba kitu chochote kizuri mwenzake atamzidi yeye. Basi akaomba ang'olewe jicho ili mwenzake ang'olewe yote mawili. Akawa chongo na...
  5. P

    Msishangae CCM ikishinda Arumeru Mashariki

    mbinu yao mojawapo ni kuwachaganya wapiga kura ili wizi wa kura uwe mrahisi. Mf wapiga kura kutoona majina yao kwenye vituo vyao vya kupigia kura. Haijalishi ccm imeshindwa kwenye kura lakini watamtangaza mgombea wao kwa nguvu. Ndipo hapo wengine roho zinawauma zaidi
  6. P

    Kamanda Lema ndani ya Arumeru

    Mungu atuepushe na vita kati ya morani dhidi FFU na Green guard hasa wakati wa kampeni za uchaguzi:lol:
Back
Top Bottom