Ushoga anaoupinga makonda saanyingine hauishii tu kwa njinsia ya kiume kujamiiana yenyewe kwa yenyewe. Nadhani hata zile tabia zake za hou ushoga makonda anaweza akawa anazipinga pi. Kule mvulana au mwanaume kuanza kuzilazila,,kununa nuna,,kukataa mambo muhimu na yanayokuhusu na kufuata mambo...
Ok mnyika kamkataa,,lowasa imekuwa lumumba wamekulupuka,,bavicha wamekanusha,,nyumbu bado wanahaha,,,hata kwa Dr.slaa ilianza hivihivi,,mwishoe mkamgeuka,,,,yangu majicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.