Akimaliza kuoga asugulie limao kwapan kidogo tu linasaidia sana kukata haruf hyo lakin pia zpo deodorant znazonukia ambazo znaweza kumsaidia pia
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kujua tatzo ni step 1
Kuamua kutatua tatzo ni step 2
Kuweka mikakat na njia za kuondokana na tatzo ni step 3
Kuifanyika kaz hyo mikakati sasa na kuanza kutokomeza tatzo ni step 4
Hongera sana
Kwasabb umeshaweka nia basi utashinda
Anza kwa kuacha tabia ya kupenda kuonekana una pesa kw watu maana hii ndo inakukost mambo yote
Tabia ya kutaka watu wakusifie uonekane don kijana msomi una mahela ndio shida inapoanzia
Ukiikomesha hii tabia ukaweza kukaa na pesa zako zisikuwashe washe basi hata kupanga namna nzur ya kuztumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.