Mad Max fuatilia kinachoendelea Huko bungeni utapata jibu kwanini watu wanashindwa magari ya chini.... miundombinu ya Tanzania imerudi tena kipindi cha Nyerere kila barabara ni mbovu ni mashimo na madimbwi Tu ingawa hizi sedans ni very comfortable Ila Kwa hapa bongo utateseka Sana hiyo gari
Nduguuu yangu!¡!!!!
Hii nchi inazidi kutumbukia shimoni na ukitaka kujua Hilo soma baadhi ya comments hapo juu nadhani umeona namna gani WAJINGA walivyokuwa wengi zaidi.....Leo hii TANZANIA nzima haina barabara za lami ni mashimo matupu barabarani na serikali haina fedha za kutengeneza kutokana...
Wewe ni Nani Hadi ushauri serikali?
Wee mbwa-kachoka endelea kushabikia UJINGA wa CCM Ila maisha halisia ya nchi hii Kwa MTU mwenye Akili timamu hawezi kushabikia UJINGA wa CCM
Aisee Hadi sijaweka bado tint baada ya kupata shida kwenye Rumion na tint za buku 20...tint za bei rahisi ni majanga Sana usiku.
Ngoja nianze kufanya mchakato wa kufunga hizi zenye bei kubwa
Huu ni ukweli mchungu Sana, kilasiku naomba MUNGU watoto wangu wasipate ajira kama hii ya polisi.
Ndiyo maana hawa polisi wajistaafu wanakufa Kwa stroke baada ya miezi 6
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.