Recent content by PureView zeiss

  1. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Nikilazimika kununua Subaru, Nitaishi na Subaru Legacy Sedan. Sijui kwanini watu hawaielewi?

    Mad Max fuatilia kinachoendelea Huko bungeni utapata jibu kwanini watu wanashindwa magari ya chini.... miundombinu ya Tanzania imerudi tena kipindi cha Nyerere kila barabara ni mbovu ni mashimo na madimbwi Tu ingawa hizi sedans ni very comfortable Ila Kwa hapa bongo utateseka Sana hiyo gari
  2. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand ashutumiwa Kwa kukubali kutumia michezo kuitakasa serikali dhalimu

    Nchi imesimama hii
  3. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Yaliyomo kwenye muswada wa Marekani kuipa vikwazo Tanzania. Polisi, TISS na Wachina wametajwa

    Nduguuu yangu!¡!!!! Hii nchi inazidi kutumbukia shimoni na ukitaka kujua Hilo soma baadhi ya comments hapo juu nadhani umeona namna gani WAJINGA walivyokuwa wengi zaidi.....Leo hii TANZANIA nzima haina barabara za lami ni mashimo matupu barabarani na serikali haina fedha za kutengeneza kutokana...
  4. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Niliwahi Shauri Serikali Iwe Inachagua Kujenga Barabara Chache Badala ya Kutapanya Pesa kidogo Kidogo Kila Mahala.Badala ya Tija inakuwa hasara

    Wewe ni Nani Hadi ushauri serikali? Wee mbwa-kachoka endelea kushabikia UJINGA wa CCM Ila maisha halisia ya nchi hii Kwa MTU mwenye Akili timamu hawezi kushabikia UJINGA wa CCM
  5. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Huenda kuna vita ya kutwaa madaraka ya kitaifa kimapinduzi ndani ya CHADEMA

    Wewe mbwa dawa yako ni kutukanwa Tu kwasababu Akili zako ni UJINGA hakuna haja ya kujibiwa kistaarabu Pumbavuu zenu hapo Lumumba
  6. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Toyota Vitz Vs Toyota Starlet-Ipi ina Nafasi Kubwa

    Hapa mjadala wote umeisha
  7. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya, usirudi kwenye Media uchwara, tafadhali

    Huko YouTube anatumia jina gani
  8. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania "Vision X Tint Studio" walikua ndio Authorized Dealer wa 3M Tint kwa Tanzania. Jamaa walikua wanaweka tint kali na quality sana.

    Aisee Hadi sijaweka bado tint baada ya kupata shida kwenye Rumion na tint za buku 20...tint za bei rahisi ni majanga Sana usiku. Ngoja nianze kufanya mchakato wa kufunga hizi zenye bei kubwa
  9. PureView zeiss

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yapunguza bei ya mafuta baada ya kutokea maandamano

    Kwa Akili kama hiz ni ngumu Sana kupata maendeleo
  10. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Msajili wa vyama vya siasa na Polisi, Mungu awape Moyo wa Uvumilivu. Hii CHADEMA ya Kahama itawatoa roho🤣🤣

    Hiki chama ni dhababu iliyokuwa imepita kwenye Moto na sasa inazidi kung'aa
  11. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Kwa Ufupi: Jitihada za Kuikwepa ICC zinaendelea....

    Mama anatembea kwenye Uzi mwembamba wa kukatika muda wowote
  12. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Boni Yai jukwaani Kahama: Achambua "mikataba ya day waka" ya CCM kwa Jeshi la Polisi, ajira zao, vyeo, mishahara, pensheni kandamizi

    Huu ni ukweli mchungu Sana, kilasiku naomba MUNGU watoto wangu wasipate ajira kama hii ya polisi. Ndiyo maana hawa polisi wajistaafu wanakufa Kwa stroke baada ya miezi 6
Back
Top Bottom