Recent content by PureView zeiss

  1. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Najua jamaa atapata shida Sana ikiwemo kupoteza mipango yake ya maisha Ila bado kwangu Mimi ni shujaa wangu
  2. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Huyu jamaa ni Mimi kabisaa aisee... Kwa jinsi ninavyochukia kuonewa IPO siku haya nitayafanya
  3. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Wazee wameanza kuogopa kuongea, mambo yameanza kubadilika

    Maisha ya chawa ni magumu sana kilasiku kazi yake ni kuhamahama Tu Leo yupo kwenye soksi na kesho Kwenye chupi
  4. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Israel yajiandaa kuingia vitani na Iran ikiwa itashambuliwa na magaidi wa IRGC!!

    Kazi juu ya kazi
  5. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Samia Suluhu Hassan, Tushamfukia tayari.. Amekufa mapema

    Huyu Mzee alikuwa na moyo wa huruma Sana aliwezaje kuishi na huyu jini?
  6. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Hapa mtaani nimeona watu wengi wanalia Sana Kwa msiba huu hata Mimi mwenyewe nimetoka kulia muda si mrefu
  7. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Africa tuna viongozi wa ajabu sana. Malawi wamempeleka mtoto wa waziri kushiriki shindano la Miss World, badala ya mshindi halisi wa taji hilo

    Kwa sura hii hata ukimleta hapa vikindu agombee umiss hawezi kushika 10 bora
  8. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba aishiwa nguvu na kudondoka wakati anahutubia leo Septemba 7, 2026

    Makonda kaa mbali na uchawi wako Kwa Mzee wetu
  9. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Fulana za kumbukumbu ya mauaji ya Tundu Lissu zagombewa kama njugu, zamalizika sokoni kwa muda mfupi

    Alafu anatokea mjinga-mjinga anafikiri LISSU atapiga magoti Kwa kesi ya mchongo ya uhaini... Huyu MTU alishapita Huko kwenye vitisho vya hapa duniani
  10. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Sisi tunasubiri kifo cha single Maza mwenyewe
  11. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Yanayofichwa ni haya: Wabongo walioletwa kutoka S.Africa wengi ni vichaa na mateja

    Ndugu yangu huyu MTU yupo DAR alafu kumbuka hii ni September jua linachoma kama pasi
  12. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania My 6 Dream Sedans kutoka Japan, USA na China!

    Gari yangu pendwa hiyo...ukiingia be forward au sbt bei yake ni Moto Sana kuanzia USD 4000-5000
  13. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Naona Leo ndugu yetu upo kwenye baridi Kali Sana Hadi vidole vinatetemeka
Back
Top Bottom