Ndugu zangu habari, mm ni kijana wa almost 40 nipo katika ndoa kwa takriban miaka zaidi ya nane na tuna watoto kadhaa na mke wangu.
Kutokana na aina ya biashara zangu za safar zangu ilinilazimu nitafute lesen ya kumiliki BUNDUKI nikapata lesenu zaid ya moja.
Mke wangu kwakel huwa hapend hata...
Yaani tangia jana nimekua na kilio na vodacom kwa upande wa internet, nimejiunga zaid ya mara nne kwa kifurufu cha wiki lakin kila nianza kutumia hata dk haiishinapata msg mb zimekata.
Leo tena hivyo hivyo halafu mbaya zaid hawa customee services hawana msaada napiga kulalamika wanaema itakua...
kwani kuna ubaya gani kumtaja mtu nae mtafuta ambapo si muharifu,kufunga safar kumfata ni hatua nyingine tunaanza na hii preminary,unakwazika kitu hakikuhusu bro what ia wrong with you?Mungu aniongoze kukujibu kistarabu hakika
Ndugu wadau ,kuna huyu ndugu yangu saidi abdalah mbelwa niliwasiliana nae kwa mara ya mwisho kama mwezi na nusu umepita ,kwa wakat huo wote alikua akiishi Ngara ,mbaya zaid hakuniambia ngara sehemu gani.
Natambua ukubwa wa jamii forum iko kila mahali ya mkini kuna mmoja wetu anamfahamu naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.