Let us assume you are fastest growing economy... what does this actually mean? The size of economy is important. For example, The size of US economy in GDD is over 18 trillion dollars. If it grew by 2%, it will add 36 billion dollars. Kenya's gdp is nearly twice that of TZ. If Tanzania grew by...
Hiyo ni uongo wa NASA ambao umeamini. Variations zilikuwa kutoka wingi wa 10% mpaka upungufu wa 7%. Kura zote baada ya kuhesabiwa inaonyesha tofauti ya 9%. Wacha tungoje uamuzi wa mahakama. Na tadhimili Bado watu wengine watasema majaji mawehongwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
PlO ameangalia akaona NASA ni upuzi tu. Hata observer wore waliangalia uchaguzi ulikuwa wa haki na ukweli. Sasa unataka Kama ameona pale haki iko afanye Nini? Ukiangalia malalamiko ya NASA... Kwanza walitoa taarifa eti uchaguzi uliimbiwa na hackers. Wakatoa nakala hamsini za uongo eti no hacking...
This is my five pence take on this matter. The burden of proof of which NASA has to discharge in this case is very high. As per section 83 of the elections Act... “No election shall be declared to be void by reason of non-compliance with any written law relating to that election if it appears...
Hii ni tactic ya kugawanya wakenya. Mungiki ilikuwa kundi la majangili kutoka kabila la wakikuyu. Vile Raila anataka ni kulete hali ya tahaluki ambayo italeta uhasama Kati ya makabila. Makabila zingine zikisikia eti watu wao wanavamiwa zitaunda vikundi via kujihami. Hii italeta Vita Kati ya...
Huyu jamaa anataka Vita na vurugu ili apate madaraka ya rais kwa kutumia nguvu. Hata Mimi hapo mbeleni nilikuwa nikimuunga mkono walakin Sasa nimebadirika. Kila objective independent observar amesema uchaguzi ulikuwa wa ukweli na wa haki. Na hata tukikubali tuseme zile servers zilikuwa...
Bado mapambano iko? Hi ni ungwana gani? Kama hujatembea Africa Mashariki mwenzangu Nairobi iko mbele Sana.. walakin watanzania wenzangu tuko mbioni na labda tutalikamata hilo jijiji baada ya miaka Mia mbili tu[emoji16] Tusikufe moyo na tafadhali msilete matusi.
Hakuna haja ya matusi na wivu jameni. Hizi jiji ni zetu wa-afrika wa mashariki. Walakin Kama umeshazuru hizi nchi mbili utajua Nairobi iko mbele kuliko Dar. Hiyo ni ukweli. Hakuna haja ya aibu....Dar itakuja labda kupita Nairobi siku za usoni.
Kile Dar imepita Nairobi nayo ni undugu na kukosa...
Jameni hii mada nitaichapa kwa kuwaambia muangalie hii address kwa mtandao
Ebu tafadhalli elekea hapa...
Nairobi Photos (kenya): A Beautiful East African City - Travel - Nigeria
Ukipigwa na butaa pole mwananchi mwenzangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.