Kwa hiyo unaona dawa ya watu wa aina ya aliyekutwa na nyumba 72 ni kuwapa wageni?! Je, umejiuliza hiyo 'faida' unayoambiwa sasa itasimamiwa na viumbe gani?
Au ni waarabu haohao watasimamia hazina na matumizi yetu?! Tatizo ni mifumo yetu ya kisheria na adhabu wanazopewa waka rushwa wakubwa katika...
Hawa walafi wakishafakamia hela za umma wanajisahu sana! Wakaangalia afya zao na hawakung'amua kuwa yule katili atarudisha chenji mapema. Wakaangalia makandokando na hawakukumbuka alivyojiuzia nyumba za umma, hawakukumbuka alivyowatishia kwa bunduki wahariri wa gazeti la Rai kipindi akiwa...
Imebidi ni~log in ili kuweka mawazo yangu kwenye uzi huu: bongo kuna kawaida ya kutatua changamoto bila kufikiria kwa kina(ref: uamuzi wa watawala kupandisha bei ya mafuta ya taa ili ikaribiane na ya diesel ili kuzuia uchakachuaji!).
Si sawa mdada wa kazi kufanya kazi hadi usiku wa manane...
Mimi huwa nashangaa sana jinsi watu wanavyozidisha 'chumvi' kuwahusu wakurya! Lakini ukweli ni kuwa huko ndanindani ukuryani ni wakarimu sana. Lakini ukiwazingua utafurahi! Lakini, hivi ni nani anapenda kuzinguliwa?!
Isee, wewe angalau umesema ukweli kuhusu wakurya...wakarimu sana na wakweli mno...akikukubali hafichi na kama hakukubali hafichi pia. Nimebahatika kwenda mikoa karibia yote Bongo. Ni sehemu chache utakuta ukarimu kama wa wakurya! Ukiingia vijiji vya ndanindani Tarime, unakutana na watu wa...
Ungetumia akili yako hata kidogo ungeelewa nilichoandika! Lakini kwa sababu huna uwezo wa ku-reason utaendelea kutamba na kutukana mitandaoni! Unaelewa kuwa wewe na mimi tunaweza kuwa ni kabila moja ila uelewa wako tayari umenihesabu kuwa ni Mkurya?!
Ulichoandika hapo hakuna namna mtu atakithibitisha! Unaweza kumshinda mtu wa kabila lolote kwa kupigana....na unaweza kupigwa na mtu wa kabila lolote. Hiyo hailifanyi kabila lako au lake kuwa washamba! Nilishawahi kupendekeza humu kuwa inapokuja kuyaponda makabila mengine wapondaji muwe mnaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.