Recent content by Pulchra Animo

  1. Pulchra Animo

    Dkt. Bashiru ana baraka zote za wenye nchi. Nadhani kauli za "anaupiga mwingi" zinamkera hata Rais Samia

    Ni bahati mbaya sana kwamba sisi tumekuwa na tunaendelea kuwa taifa la chawa (left, center and right). Ukitaka kujua ukubwa wa hili tatizo, angalia kule upinzani hali ikoje. Mwanachama wa CHADEMA, kwa mfano, akidiriki kumpinga Ayatollah Mbowe, BAVICHA na BAWACHA, bila kupoteza muda, wanamzika...
  2. Pulchra Animo

    Rais Samia hana mchezo wala subira kwa atakayechezea fedha za umma

    Ukimaliza jokes zako tuambie ili tuanze kuongea mambo ya msingi!
  3. Pulchra Animo

    Kitila ampinga Muhongo kuhusu Tanzania kushuka Uchumi wa Kati

    Hangaya ameshasema wananchi inabidi muanze kuzizoea tozo, kwasababu tozo zaidi (za barabara) ziko njiani zinakuja!
  4. Pulchra Animo

    Kitila ampinga Muhongo kuhusu Tanzania kushuka Uchumi wa Kati

    Kuwa na uchumi mkubwa kwenye makaratasi ni meaningless kama maisha ya mwananchi ni duni kuliko yanavyopaswa kuwa kulingana na takwimu!
  5. Pulchra Animo

    Kesi ya Mdee na wenzake: Shahidi Nusrat Hanje amuomba Jaji warudi kwenye Vikao vya CHADEMA wakayamalize

    Huna hoja. Yaani aliwaona Mdee, Matiko na Bulaya kuwa ni miongoni mwa wale wasio wakosoaji?
  6. Pulchra Animo

    Kesi ya Mdee na wenzake: Shahidi Nusrat Hanje amuomba Jaji warudi kwenye Vikao vya CHADEMA wakayamalize

    Fikra zingine hazina hadhi ya kuitwa fikra. Unaingizaje mtu Bungeni kwa mtutu wa bunduki ili ukamlipe mamilioni ambayo watu wengi wako tayari kuua wenzao kwa ajili yake?
  7. Pulchra Animo

    Msimamo wako Kalemani utakufikisha mbali sana, Mungu akutunze sana!

    Kuna watu wameshikiwa akili na watu wengine. Hawajui kwamba kuna political assassins ambao hawatumwi na mtu yeyote. Kwa mfano, yule chizi aliyevamia nyumbani kwa Nancy Pelosi na kumjeruhi mume wake kwa nyundo alitumwa na nani? Hawa machizi wetu wa hapa wangekuambia alitumwa na Trump!
  8. Pulchra Animo

    Msimamo wako Kalemani utakufikisha mbali sana, Mungu akutunze sana!

    Kabisa, that guy is a piece of shit!
  9. Pulchra Animo

    TAHLISO waionya Chadema

    Tangu lini mtu mwenye njaa akaweza kuenenda kama msomi? Professors wenyewe wanaopewa hizi assignments na watawala wanaweka usomi wako mfukoni, sembuse hawa pimbi ambao hata shahada ya kwanza hawajapata!
  10. Pulchra Animo

    Biswalo Mganga hana makosa. Plea bargaining ni kwa mujibu wa sheria. Hakuna pesa iliyoingia mfukoni kwa mtu. Zitto ni mpenda sifa za kijinga

    Kitu kinachofanyika kwa idhini ya mahakama hakiwezi kuhojiwa na kubatilishwa nje ya mahamaka. Nionavyo mimi, hili ni swala la kifedha (fedha ya umma) ambalo linaangukia kwenye himaya ya CAG. Tukitaka kila mmoja wetu awe CAG hapa, nchi itakwenda ubenibeni!
  11. Pulchra Animo

    Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

    Wana mfumo wa ajabu. Kila chuo kinapaswa kuwa na law school yake. Na jukumu la law school sio kumuandaa mtu kufaulu mtihani wa uwakili. Bar exam has nothing to do with law school. Sio kila law student anataka kufanya bar exam!
  12. Pulchra Animo

    Wadau wapinga Rais Samia na Makamu wake kuingia na Viti binafsi Kanisani, yadaiwa ni kujikweza

    JPM alikwenda chuo kikuu katika official capacity yake. Kiongozi akienda kanisani anakwenda kama muumini, haendi kama kiongozi wa Serikali.
Back
Top Bottom