Recent content by Pulchra Animo

  1. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Msikilize/ mtazame Fatou Bensouda akizungumzia jinsi vikwazo alivyowekewa na Marekani vilivyoathiri maisha yake na familia yake.

    Vikwazo vya USA dhidi ya maofisa wa ICC huwa zinawafanya USA waonekane kuwa hawana maana yoyote. They’re just mazafakas who live by the law of the jungle!
  2. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Yes, ni watuhumiwa number one. Wengine wote watakuwa accomplices. Kutii amri haramu sio defense unless mtu amelazimishwa at gunpoint!
  3. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Tusema wewe ndiye Rais Samia, ungejibuje swali hili?

    Nchi yetu imeharibika sana. Sijui kama kuna serikali duniani inayochinja raia wake wengi kama ifanyavyo Serikali ya CCM. Ni fedheha kubwa!
  4. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Askofu Wa Kanisa La Katoliki Apigwa Risasi Na Kuuwawa Msumbiji. Ingekuwa Tanzania Wenye Chuki Binafsi Wangeanza Kumtukana Rais Wetu na kuzusha uongo

    Sisi tuulize kuhusu social vices za Tanzania. Mambo ya Mozambique wanayajua Mozambicans!
  5. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Waandishi wa Habari wa Urusi walinisalimia “Mama Samia Shikamoo”, jambo linaloonesha kuenea kwa Kiswahili

    Tunaposema is an idiot, tueleleweni basi. Kwenye hizi zama za AI ni salaam ya lugha gani inashindikana kujifunza ili kuitumia kwenye event? Mfano rahisi huu hapa: Xhosa Common Greetings & Responses: Hello: Molo (to one person) /Molweni (to a group) How are you? Unjani? (one person)...
  6. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na dhana ya "Baniani mbaya kiatu chake dawa"

    Ili kuweza kuona uzuri ndani ya lundo la ubaya uchawa unahitajika. Macho ya mtu ambaye siyo chawa hayaoni miti, yanaona pori. This is a big picture issue!
  7. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Tusema wewe ndiye Rais Samia, ungejibuje swali hili?

    Yaani mtu awe Samia halafu awe na akili ya kulijibu hilo swali tofauti? No f-cking way!
  8. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

    Homo sapiens, emerged in Africa roughly 300,000 years ago. Dark brown pigmentation was the baseline, ancestral skin color for all modern humans. The lighter skin tones we see today are a relatively recent evolutionary development: 🔹When groups of Homo sapiens began migrating out of Africa into...
  9. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Wasaidizi wake ni wabovu tu kama yeye! Ni nadra sana kukuta idiot amezungukwa na smart people. It takes a smart person to identify and recruit a smart advisor!
  10. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Nampongeza Rais Samia kwa Kuja Russia maana ametufungulia njia vema kujieleza tukaeleweka

    Utaamua wewe mwenyewe. Inaitwa freedom of comprehension!😅
  11. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa inakuaje kwenye selection za form five kuna baadhi ya wanafunzi wamepangiwa Combination ya PMCs na hawajasoma Computer kabisa

    Mimi sioni cha ajabu hapo. Wakati wa karne ya ishirini computer science majors wote chuo kikuu walikuwa hawakusoma computer science O’level wala A’level. Hata upande wa business mpaka leo kuna business majors ambao hawakusoma masomo ya biashara anywhere kabla ya kwenda chuo kikuu.
  12. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

    Kuna at least four human species zilizoishi kabla yetu sisi Homo sapiens!
  13. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Hayo ni matokeo ya mtu kuwa na elimu ya hapa na pale kama mvua za vuli. Hata kama Tanzania bado haijawekewa vikwazo, Russia iko kwenye vikwazo. Sijui kama fazafaka anajua hata hilo. Angalau angejibu hilo swali from that angle!
  14. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Nimeokota hela iliyotafutwa kwa udi na uvumba

    You’ll pay, sooner or later. Mungu ana namna yake ya kusawazisha mahesabu!
  15. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Bongozozo aanza kuisaidia Tanzania, atinga Bunge la Ulaya kuchochea kuni

    Bongozozo ni mzalendo kuliko mazafakas wote wa Serikali ya CCM.
Back
Top Bottom