Kama kuna jambo ambalo mazafaka Trump analijutia kimoyomoyo ni uamuzi wake wa kuvianzisha hivi vita. He just can’t reverse the whole thing. Otherwise, he would do just that!
Nadhani issue ya RA ilikuwa defamatory in nature. Madeleka yeye anatuhumiwa kudharau administrative order ya Mahakama—the constitutionality of that order though is highly questionable.
I don’t think RA could have been criminally prosecuted, if he didn’t apologize. Unless the crime is a...
Mihimili yetu yote mitatu ni ya kipumbavu sana!
Obviously, amri aliyoitoa Msajili wa Mahakama ni haramu—a blanket ban on communicating with reporters across entire "court premises" violates Article 18 of the Constitution of the United Republic of Tanzania, which explicitly guarantees freedom of...
Kiapo ni takwa la kikatiba, lakini halifuti illegitimacy. Ndiyo maana mbunge (ambaye ubunge wake unahojiwa mahakamani) anaweza kupoteza ubunge wake hata baada ya kuwa ameapishwa!
Huo ni uoga usiokuwa na maana yoyote. Kifo kipo, utake usitake. Hata usipouawa na majambazi wa fazafaka wa Kizimkazi hakuna guarantee kwamba utaishi. Mwaka jana, baadhi ya watu waliofanya kila wawezalo kutokujihusisha na maandamano ili wasiuawe bado walikufa kwasababu moja au nyingine. They died...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.