Kwa mwenye uelewa wa mambo anaweza nisaidia hapa.
Deportation inawahusu wageni wote walioingia USA kwa njia zisizo halali ?
Kwa mfano kuzamia, kuingia na kuomba ukimbizi na mambo kama ya overstay.
Kwa wale wote waliongia kama wanafunzi au watalii hii inakuwa haiwahusu ?
Kuna mda nikikaa nikatafakari kuhusu mstakabari wa Taifa letu inanifanya niwaze uenda kuna kizazi kitakuja kuleta ukombozi wa kweli wa hili Taifa.
Tumekuwa na viongozi wasiofikiria kuhusu hili Taifa, licha ya mali nyingi wanazoiba na kutumia ila bado wamekosa uungwana hata kidogo na kuliwazia...
Wahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa, ila dada mkubwa kama angalikuwa anasikia basi kuna vitu angejitahidi kupingana navyo hata kama machawa wanamlazimisha vitokee.
Machawa wanaharibu sana taifa letu, viongozi wengi imekuwa kama fashion kuchukuliwa na upepo wa machawa bila kupima na...
Licha ya mambo yanayoonekana kafanya Mbowe, alitaka kukipeleka chama sehemu mbaya sana na round hii deal lilishtukiwa mapema.
Watanzania inabidi watambue hakuna ugharamikiaji wa shughuri wenye thamani kuliko uhai wa wapigania demokrasia na haki wa kweli.
Kuna wadau wengi wamekuwa mstari wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.