Kama ni hivyo, viongozi wa dini wana wajibu wakuhubilia waumini wao ambao wengine ni wanasiasa waache wizi, utekaji, roho mbaya, tamaa ya madaraka, kubambikia watu kesi Ili waende mbinguni
Nilikuwa na boss kama huyo
Nilimtukana matusi ya nguoni mbele za watu kama yeye na kazi nikaacha....ila baadae alinipigia simu tukayamaliza japo sikurudi kazini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.