Recent content by Pua ya zege

  1. Pua ya zege

    Prof. Kitila Mkumbo: Arusha Imegeuka Kutoka kuwa Kitovu cha Maandamano hadi kuwa Kitovu cha Uwekezaji

    Jitu Libaba lina mke ,watoto,waziri still lchawa! Kha! Nchii ngumu hii
  2. Pua ya zege

    Prof. Kitila Mkumbo: Arusha Imegeuka Kutoka kuwa Kitovu cha Maandamano hadi kuwa Kitovu cha Uwekezaji

    Huyu SI ndiye yule prof asiyekuwa na maarifa kichwani nae ni kipara kipya tu.
  3. Pua ya zege

    Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela

    Hiyo unaogopa wewe woga ni ujinga, kumbuka alitaja mpaka alipo alijua kinachofuata Imani yake imeshinda miaka miwili kitu gani Kwa jambo ulilosimamia likafanikiwa. Tayari ujumbe umefika duniani kote
  4. Pua ya zege

    Wana-CHADEMA waliokula teuzi ndani ya CCM huku UVCCM wakibaki midomo wazi

    Huyu anauza sukari za magendo tunduma aliwahi kufungwa miezi sita Kuna diwani wa mafisiem alimchomoa gerezani alishatinga jezi ya machungwa!!
  5. Pua ya zege

    PreGE2025 Rais Samia kugharamia matibabu ya Sativa hadi apone, aagiza uchunguzi wa tukio hilo

    Kupokea msaada wake itakuwa sawa na kumkufuru Mungu aliyemponya kijana huyo kuliwa na fisi kama watekaji wa serikali ya Samia walivyotaka
  6. Pua ya zege

    PreGE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

    Watu walimstukia kitambo nae akastuka akapiga pesa za mama naniliu tukatia kambi iringa tukazitafuna kwa ufundi mkubwa tukambwaga chadema ipo salama kilometa milioni.
  7. Pua ya zege

    PreGE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

    Hizi ndizo maiti zinazotembea sasa, ila wenzenu wakitumia Uhuru huo huo mnawateka na kuwapiga risasi
  8. Pua ya zege

    PreGE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

    Chadema ameishindwa mwendakuzimu iwe huyo nzara tumbo mponza trako!!
  9. Pua ya zege

    Ruto zima Internet vinginevyo unaondoka

    Unamshauri atumie choo ndotoni?
  10. Pua ya zege

    Sasa ni dhahiri, katiba mpya ni mwiba kwa Wakenya!

    Miongoni mwa maiti bora kabisa ni wewe bado kunuka tu!
  11. Pua ya zege

    Sasa ni dhahiri, katiba mpya ni mwiba kwa Wakenya!

    Yaani wewe maiti unakosoa wagonjwa nchi ngumu sana hii umefatiria bunge la kenya jana kuhusu kuongezwa mshahara wabunge! Stupid
Back
Top Bottom