Kwahiyo mkuu kutoka kutojua kusoma,kuandika,kuhesabu mpaka kujua unaona si mafanikio?!shule kuna masomo yakukufanya ubongo wako utanuke na uwe active kuweza kutumika kupata mafanikio unayotaka
Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
Ifike mahala waandishi wapitie kazi za waandishi wenzao kwanza na ufasaha wa matumizi ya lugha.....nyuzi za The Bold zingekua hivi mtu huwezi vumilia kusoma manake brain inachoka asee
Inawezekana power haifiki kwenye feni so jaribu kutest ama kucheck ile jumper ya feni then angalia pia kama ina vumbi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Shida ya A series vioo vyake kama vya tecno hasa hizi A10 wanatumia IPS LCD capacitive touchscreen wakati J series wao wanatumia Super AMOLED capacitive touchscreen hizi ni display type nzuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.