Recent content by PRYG

  1. P

    JamiiForums Tanzania Katika maisha yako ushasikia mtu akijitambulisha anafanya kazi ya chumvi

    Na nikiungo muhimu kwenye chakula kuliko kiungo kingine chochote
  2. P

    JamiiForums Tanzania Kupunguza Fraud mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Uhudumie hospitali za umma tu

    sidhani kama unaelewa unachokiongea
  3. P

    JamiiForums Tanzania Hospitali binafsi zitaifilisi NHIF, Serikali iwe makini

    U Una akili za kimagufuli magufuli akili za kiumasikini, hujui kua NHIF wenyewe wanabei zao kwa kila huduma na gharama za huduma zinatofautiana kulingana na level ya kituo cha huduma. walaumu kwa vitu vingine
  4. P

    JamiiForums Tanzania Hospitali binafsi zitaifilisi NHIF, Serikali iwe makini

    kwa kukusaidia tu NHIF huwa wanapitia fomu moja moja ya mgonjwa/taarifa na kuangalia kama mteja wao alipewa huduma sahihi ni pamoja na dawa, wakigundua akupewa huduma sahihi hiyo huduma huwa ailipiwi
  5. P

    JamiiForums Tanzania Hospitali binafsi zitaifilisi NHIF, Serikali iwe makini

    SASA nani alikuambia matibabu ni dawa tu? alisaini kwasababu alionana na daktari ( alipata ushauri wa kidaktari).
  6. P

    JamiiForums Tanzania Hospitali binafsi zitaifilisi NHIF, Serikali iwe makini

    sasa hilo sio tatizo la hospital binafsi ni tatizo la NHIF
  7. P

    JamiiForums Tanzania Hospitali binafsi zitaifilisi NHIF, Serikali iwe makini

    how sure your? ile hali umesema dawa uzioni ww
  8. P

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Ulinzi wa taifa kinachukua watu wenye sifa gani? Natamani kujiunga

    ulishawai kuona katiba ya serekali mkuu? unaapa kuilinda na kuitunza katiba ya nchi yako
  9. P

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Ulinzi wa taifa kinachukua watu wenye sifa gani? Natamani kujiunga

    Wewe unataka kutumiakia serekali au kulitumikia taifa?
  10. P

    JamiiForums Tanzania Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

    MBWA nyie huyo jiwe mbona hakutengeneza mifumo ambayo ingedumu vizazi na vizazi by the way hata enzi zake hakuna kilichokua kimebadilika.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Butiama: Misa ya Maandalizi ya kumtangaza Julius K. Nyerere kuwa Mwenye Heri yafanyika kuelekea kuwa Mtakatifu Nyerere!

    ndo maana anaongoza malaika wa pepo wabaya.
  12. P

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iweke mfumo mzuri wa viti maalum

    unamaanisha wewe ni yule anayepaswa kwenda kujichimbia pembeni ya kaburi la bwana jiwe?
  13. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Tume Huru, Mgombea Huru na kumbukumbu ya Kuzaliwa TANU

    Huna akili. Na hutokaa upate akili.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Kwa uzalendo wa hali ya juu James Mbatia atakuwa anapanda treni kwenda Moshi huku ni KUB

    Kwahiyo kwa akili zako kupanda tren ndo uzalendo wenyewe. Ila tunaopanda Vx na bajaji sio wazalendo? Acha kunajisi neno Uzalendo
Back
Top Bottom