sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,000
Salaam kwenu,
Kwa miaka mingi nimekuwa nikisikia kuhusu chuo cha ulinzi wa Taifa. Nimejitahidi kufatilia course wanazotoa pamoja na namna ya kujiunga Ila sijapata chochote cha maana cha kunisaidia.
Nikwamba Mimi ni mtumishi wa idara flani serikalini Ila napenda Sana kujiunga na hiki chuo ili niitumikie serikali nikiwa zao la chuo hicho.
Kwa mwenye uelewa au connection ya kujiunga naomba msaada tafadhali.
Wasalaam!
Kwa miaka mingi nimekuwa nikisikia kuhusu chuo cha ulinzi wa Taifa. Nimejitahidi kufatilia course wanazotoa pamoja na namna ya kujiunga Ila sijapata chochote cha maana cha kunisaidia.
Nikwamba Mimi ni mtumishi wa idara flani serikalini Ila napenda Sana kujiunga na hiki chuo ili niitumikie serikali nikiwa zao la chuo hicho.
Kwa mwenye uelewa au connection ya kujiunga naomba msaada tafadhali.
Wasalaam!