Recent content by proudly mrs sam

  1. proudly mrs sam

    Nahitaji Critical Thinking hapa tafadhali

    Kalikua kameshindikana take katoto acha kapate cha moto kajifunze
  2. proudly mrs sam

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Natafuta chimbo la mitandio ya kiislam kama hiyo hapo chini
  3. proudly mrs sam

    Uzi maalumu kwa wote wanaohitaji mikopo mbalimbali ya kifedha

    Sharti uwe mkazi wa dar na unaruhusiwa kukopa baada ya miezi mitatu na unakopa mara tatu ya akiba yako...ni sacoss ya kanisa atakaehitaji jina pm
  4. proudly mrs sam

    Uzi maalumu kwa wote wanaohitaji mikopo mbalimbali ya kifedha

    Kuna saccos ipo dar ni nzuri sana waanakipesha kwa riba ya 10% kwa mwaka
  5. proudly mrs sam

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO ARUSHA Meru nije dar moro pwani elimu sek
  6. proudly mrs sam

    Natafuta wateja wa viatu vya ofisini na mtoko

    Tunasubiri hizo picha
  7. proudly mrs sam

    Anatangaza dau nono kwa mwalimu huyu

    Mhh hapana matapeli wengi unampa m1 ya kwanza anasepa mazima
  8. proudly mrs sam

    Njoo ununue hii gari kwa bei ndogo

    Si kwa bei hiyo asee..na milage ya 147000km
  9. proudly mrs sam

    Anatangaza dau nono kwa mwalimu huyu

    Wengine ndo tumezaliwa dar tumesomea dar tumekulia dar famille zetu zipo dar huku mikoani tunaona shida tu
  10. proudly mrs sam

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Walimu kubadilishana Sambaza link kwa walimu unaowajua ili tufanikishe kupata watu wa kubadilishana nao vituo vya kazi
  11. proudly mrs sam

    Anatangaza dau nono kwa mwalimu huyu

    Mshahara gani tena? Hiyo ni hela atakayopewa mtu atakaekuwa tayari kubadilisha kama zawadi yake
  12. proudly mrs sam

    Anatangaza dau nono kwa mwalimu huyu

    Kwa mwalimu yeyeto aliepo dar anafundisha sekondari alietayari kuhamia Arusha mjini anatangaziwa zawadi ya 1,300,000tsh ikiwa atakuwa tayari kubadilishana vituo vya kazi. Hakuna utapeli kama una lengo la kutapeli ishia hukohuko tutaandikishina kwa mwanasheria na MALIPO ni baada ya mambo kutick...
  13. proudly mrs sam

    Kiwanja keko magurumbashi kinauzwa 1.5m

    Hayo ni mawazo yako & you are free to think whatever you want
  14. proudly mrs sam

    Kiwanja keko magurumbashi kinauzwa 1.5m

    Gari haifiki mpaka kiwanjani kwa sababu ni bondeni kidogo huduma zote umeme na maji zipo. Picha za majirani sina kwa sasa ila kuna nyumba nzuri tu hapo zimejengwa Gari unaiacha sehemu then unatembea kama dk5 kutoka ulipoacha gari
  15. proudly mrs sam

    Kiwanja keko magurumbashi kinauzwa 1.5m

    Ndio 1,500,000tsh nimeolewa na ninahama nchi so inabidi niuze tu hata kwa hasara
Back
Top Bottom