Unacho kisema watu wenye muda wa kufiki na si kufikiri tu wanaofikiri sawasawa wanakuelewa, Tatizo tulilonalo hatupendi kufikiri na kufanyia jambo utafiti wa kina tumekuwa watu wakushabikia kila jambo bila kujua tunacho shabikia ni kwa masilahi ya nani mimi ninavyomwangalia zitto naona kama...
Unacho kisema watu wenye muda wa kufiki na si kufikiri tu wanaofikiri sawasawa wanakuelewa, Tatizo tulilonalo hatupendi kufikiri na kufanyia jambo utafiti wa kina tumekuwa watu wakushabikia kila jambo bila kujua tunacho shabikia ni kwa masilahi ya nani mimi ninavyomwangalia zitto naona kama ni...
Mmmh hii inaleta wasiwasi unaonekana wewe ni miongoni mwa watu msiokuwa na uchungu na watanzania pamoja na taifa lenyewe tanzania.
Nadhani kabla hujatoa mawazo yako yaliyopungukiwa na heshima (ungese) na yaliyopungukiwa na akili pia maana siku zote mtu mwenye akili huangalia kilicho zungumzwa...
Hivi karibuni kulitokea na mgongano na kutokuelewana kati ya wafanyabiashara wa maroli(WASAFIRISHAJI) na wizara ya ujenzi inayoongozwa na waziri(MAGUFULI) kuhusu uzito unaotakiwa pamoja na adhabu zinazotakiwa kutumika mara inapo bainika umezidi.
Ilijitokeza hali ya wafanya biashara hawa...
Mmmmh ni kweli inakera wamekuwa rahisi sana hata wanapoteza hamu hawajui kusema hapana wala kesho hapo hapo sijui ndiyo kwenda na wakati huku naona hawa wa leo ndiyo wanawake wa digital ni kubofya tu.......!
Wakati mwingine kamanda huwa sikuelewi...! Lakini kwa hiki ulichokisema nakubaliana na wewe asilimia mia na ningelipenda kuwashauri watanzania wenzangu tusipende kuleta ushabiki wa mpira kwenye siasa kwani siasa ndiyo inayotuamulia tuwe na elimu bora, afya bora nk hivyo yanapozungumzwa mambo ya...
Unachosema nikweli kabisa ikulu hawaendi wahuni lakini swali la kujiuliza ni hili wanao amua nani wampeleke ikulu ni nani?
bila shaka jibu lisilo na ubishi ni hili wananchi ndio waamuzi nikiwa na maana wapiga kura sasa wakati kura zinapigwa hawa wapiga kura kwao ni nani anaonekana muhuni wakati huo?
Wakati mwingine kamanda huwa sikuelewi...! Lakini kwa hiki ulichokisema nakubaliana na wewe asilimia mia na ningelipenda kuwashauri watanzania wenzangu tusipende kuleta ushabiki wa mpira kwenye siasa kwani siasa ndiyo inayotuamulia tuwe na elimu bora, afya bora nk hivyo yanapozungumzwa mambo ya...
Kwanza nimesikitishwa na siasa chafu za watu walio filisika mawazo, kitendo cha kutengeneza picha za kudhalilisha kiongozi wa watu ni upuuzi mkubwa. Napenda kumwakikishia lema kitendo ulichokifanya ni ujasiri mkubwa na wanao ongea hovyo wengine ni miongoni mwao wapuuze kwani walitaka ukose...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.