Wakuu , Bwana mkubwa kaleta tangazo lake, ukisoma line ya mwisho ya tangazo inajieleza vizuri sana.Mi nadhani wadau tujifunze kua hili ni tangangazo sio mada hivyo halihitaji mjadala as long as wateja wake hawajarudi hapa na kulalamika kama wameibiwa.Sio kila tangazo uandike,Kama huna kazi ya...
Mkuu vipi nikihitaji package ya unlimited Bandwidth? Nina host kwa ISP mwingine vipi utanisaidia kufanya imigration ? Migration itacost kiasi gan? Nimena mna 30 Days Money Back Guarantee ni kweli?
Kwetu hapa tanzania sheria hailazimishi mtu kua na kampuni ama kuwa registered ili uwe mmiliki wa social network,Ila policy ya social network yako isipingane na sheria za nchi ama sheria mpya za mtandao.
Hivyo unaweza kua mmiliki bila kua registered,lakini nakushauri endapo biashara yako itakua...
Majuzi nimetembelewa na PiPiMatch.com nimependa sana kazi wanazofanya,kwani niwatengenezaji wa software na kuziuza kwa bei muruaaaa. Nimependa zaidi offer waliotoa kwa watu wanaotaka kumiliki Social Network.
Kwa wale mnaopenda kuanzisha mtandao wenu wa kijamii (Dating site) lakini mmeogopa...
Majuzi nimetembelewa na PiPiMatch.com nimependa sana kazi wanazofanya,kwani niwatengenezaji wa software na kuziuza kwa bei muruaaaa.Nimependa zaidi offer waliotoa kwa watu wanaotaka kumiliki Social Network.Kwa wale mnaopenda kuanzisha mtandao wenu wa kijamii (Dating site) lakini mmeogopa gharama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.